Kwa sababu enzi hizi za Magufuli ni za wauwaji wakumbeke auwaye kwa upanga naye atakufa kwa upangaLisu alipogundua anafuatiliwa kwa nini aliwaongoza wafuatiliaji nyumbani badala ya kwenda polisi?
Wakati uliopita ni sehemu nzuri ya kutembelea ila si mahali salama pa kuishi. Lisu anateswa na kug'ang'ania kuishi wakati ulopita. Akubali kuwa hii enzi si ya akina JK, mambo yatamuwia mepesi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli. . .lakini sasa kulalamika kuwa boss hakuja kunijulia hali hakuna maana sana. Cha muhimu zaidi ni mipango aliyonayo baada ya hapa, hayo mengine yashapita ni ya kuyaacha tuNi Boss wake Mjengoni, ingeonyesha Kumjali
Sky, nami nasema na nchi unajuwa kuwa wana CCM hasa watawala hawakutaka Lissu aishi. Ni vizuri akaachana nao na acheze kama yatima. Lissu na chama chake, wasitegemee huruma au fairness yoyote toka serikali hii na CCM yake.Inaonyesha kuwa uhai wake hauna thamani kwa viongozi wakuu wa bunge yeye akiwa mbunge.
Hivi unajishughulisha kuwaza kweli?Hakuna jipya wimbo ni huohuo kila siku. Hachoki?Anapenda kuchosha watu wasome dude reeefu sana huku yaliyomo marudio tu.Mbona huo ni uchochezi?Hiyo ndo fani yake.Tabu sana