Tundu Lissu mpinzani pekee aliyebaki

Tundu Lissu mpinzani pekee aliyebaki

Nakupongeza mtoa mada@technically, TUNDU LISSU NDIO MPINZANI PEKEE ambae naona anaweza kuwasumbua CCM ana hoja za maana kwenye kusimamia mambo ya msingi kijamii na kiuchumi...natamani JPM angemuona au angefanya nae kazi tungesonga zaidi ya hapa tulipo lakini nakuombea TUNDU LISU ipo siku JPM atakuona na atakuita na atafanya kazi na wewe. Sio hao akina mbowe wafanyabiashara wa kujenga magorofa dubai kwa kukwepa kulipa kodi za watanzania eti wanajiita wanasiasa.
Nasikitika sana!! Tungekuwa na watu wengine kama 100 kama huyu jamaa tungeenda mbali kama taifa!!
 
Kweli Lisu ni mtu mwenye uelewa na sio mnafiki kama CDM.mim nadhani aliingia Cdm kimakosa atafute mahali sahihi pakufanyia kazi coz hawa cdm hawana malengo na maendeleo ya nchi.Lisu no binge LA MTU ILA TANZANIA IMESHINDWA KUMTUMIA.
angekua kule kijani angekua ashaanguka na ndege
 
Fisadi ni fisadi tu,hakuna cha unafuu
Nawewe ni fisadi kama sikosei
Ulikuwa ukila ganji za kutumwa bizaa dukani ukiwa mdogo!!!
Ulikuwa ukila gani kwenye school fees
Kipindi upo shule
 
Kwa taarifa yako Mimi sio mnafiki kama ilivyo wewe kwangu nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi!!

nilikuwa nishakubaliana na wewe toka mwanzo wa post ila ulipokubaliana na huu upuuzi hapa chini:-
Kweli Lisu ni mtu mwenye uelewa na sio mnafiki kama CDM.mim nadhani aliingia Cdm kimakosa atafute mahali sahihi pakufanyia kazi coz hawa cdm hawana malengo na maendeleo ya nchi.Lisu no binge LA MTU ILA TANZANIA IMESHINDWA KUMTUMIA.

basi nikashtuka na kutambua kumbe ni unafiki mtupu. yaani unakubali kabisa chama ni kinafiki? au kwa sababu kunawanafiki ndani yake? je kwa style hiyo utakubaliana na hoja kwa ccm ni cha wapenda rushwa eti kisa tu ndani yake kuna waliopata madaraka kwa rushwa?!
 
nilikuwa nishakubaliana na wewe toka mwanzo wa post ila ulipokubaliana na huu upuuzi hapa chini:-


basi nikashtuka na kutambua kumbe ni unafiki mtupu. yaani unakubali kabisa chama ni kinafiki? au kwa sababu kunawanafiki ndani yake? je kwa style hiyo utakubaliana na hoja kwa ccm ni cha wapenda rushwa eti kisa tu ndani yake kuna waliopata madaraka kwa rushwa?!
Wewe ndio upo kushoto hapa tunaongelea personal confidence sio vyama vyama peleka huko !!!!

kwenye hiyo post yangu kuna sehemu umeona nimezungumzia CCM au chadema??
Sijaongelea vyama nimeongelea MTU!!!
 
Tundu Lissu ni mchumia tumbo,kigeugeu na msanii kama walivyo chadema wengine
Ni hatari kwa mwanasheria kama Lissu,kuandaa orodha ya mafisadi,kuisambaza nchi nzima kwa miaka 8,halafu mmojawapo katika orodha unampokea unamnadi agombee urais,
Mambo haya kwa mwanasheria anaejitambua angelazimisha hilo fisadi lisafishwe kwanza na mahakama,,halafu ndio angekubali kulipokea

..vipi kuhusu Magu?

..mbona aliuza nyumba za serikali kifisadi?

..mbona alinunua meli mkweche?

..mbona alikuwa akimsifia JK halafu leo anadai amekuta majipu kila mahali?

..ameanzisha mahakama ya mafisadi lakini hataki kuondoa kipengele kinachoruhusu Rais/Maraisi wastaafu kushitakiwa.

..yupo Raisi mstaafu ambaye ametajwa ktk orodha ya mafisadi
 
Tundu Lissu ni mchumia tumbo,kigeugeu na msanii kama walivyo chadema wengine
Ni hatari kwa mwanasheria kama Lissu,kuandaa orodha ya mafisadi,kuisambaza nchi nzima kwa miaka 8,halafu mmojawapo katika orodha unampokea unamnadi agombee urais,
Mambo haya kwa mwanasheria anaejitambua angelazimisha hilo fisadi lisafishwe kwanza na mahakama,,halafu ndio angekubali kulipokea

Hata ukatibu kata hupati wewe.
 
Tundu Lissu ni mchumia tumbo,kigeugeu na msanii kama walivyo chadema wengine
Ni hatari kwa mwanasheria kama Lissu,kuandaa orodha ya mafisadi,kuisambaza nchi nzima kwa miaka 8,halafu mmojawapo katika orodha unampokea unamnadi agombee urais,
Mambo haya kwa mwanasheria anaejitambua angelazimisha hilo fisadi lisafishwe kwanza na mahakama,,halafu ndio angekubali kulipokea
Ivi MTU akiwa fisadi akaacha kwako bado unamhesabia ivyo ivyo?Na mbona kwenye Ilo chama mafisadi Hata hawahesabiki Na bado unakuwa nao??? Break please..umekazanaaaaaa Fisadi Fisadi..Haya alipotoka Ufisadi uliongezeka ama iliisha au kwa kuwa wengine bado wapo Na Hata kama alisema ndio..huyo bwana keshatoka sio Fisadi..Ni sawasawa Na MTU mdhambi akiokoka Hutakata.Ukomee kumkazania Lowassa Fisadi kuanzia Leo..Kitendo cha kutoka huko yupo Huru Na Safi.Ole wako uendeleze propaganda zako..Ivi unajua Maana ya ufisadi Basi huko kuliko Hata we Ni Fisadi Maana wamejaaa Na wanendelea kutumbuliwa..Umwache El wetu.
 
Wewe ndio upo kushoto hapa tunaongelea personal confidence sio vyama vyama peleka huko !!!!

kwenye hiyo post yangu kuna sehemu umeona nimezungumzia CCM au chadema??
Sijaongelea vyama nimeongelea MTU!!!

ambacho hujaelewa ni nini labda?! nimesema umekubaliana na jamaa aliyeleta uchama na comment yake nikaweka, kipi hujaelewa?!
 
Wewe ndio upo kushoto hapa tunaongelea personal confidence sio vyama vyama peleka huko !!!!

kwenye hiyo post yangu kuna sehemu umeona nimezungumzia CCM au chadema??
Sijaongelea vyama nimeongelea MTU!!!
Sawa mkuu
 
Ivi MTU akiwa fisadi akaacha kwako bado unamhesabia ivyo ivyo?Na mbona kwenye Ilo chama mafisadi Hata hawahesabiki Na bado unakuwa nao??? Break please..umekazanaaaaaa Fisadi Fisadi..Haya alipotoka Ufisadi uliongezeka ama iliisha au kwa kuwa wengine bado wapo Na Hata kama alisema ndio..huyo bwana keshatoka sio Fisadi..Ni sawasawa Na MTU mdhambi akiokoka Hutakata.Ukomee kumkazania Lowassa Fisadi kuanzia Leo..Kitendo cha kutoka huko yupo Huru Na Safi.Ole wako uendeleze propaganda zako..Ivi unajua Maana ya ufisadi Basi huko kuliko Hata we Ni Fisadi Maana wamejaaa Na wanendelea kutumbuliwa..Umwache El wetu.
Mkuu pole pole!!
 
Back
Top Bottom