Tundu Lissu: Mpambanaji aliyeuanza uanaharakati utotoni

Japokuwa mm ni mpiga kura wa zzk huku kgm, nakiri kabisa Lissu, Mnyika na Lev. Msigwa, Mdee, Kafulila, Sakaya na Mbowe ni miongoni mwa wabunge wa upinzani niwapendao sn kwa namna wanavyowakilisha hoja zao kwa maslahi ya taifa na wapiga kura wao and they do what they know. Naskitika tu speaker anawabana.
 
Nou,tuulizeni sisi tulochunga naye mbuzi na ng'ombe Isuna,kelele tu,hata tukichunga hakufunga mdomo wake kwa miluzi!!!
 
NI KWELI Lissu yuuko juu
Muongozoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo wa SPIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIKAAAAAAAAAAAAAAAAAA
 
wengi wetu utakuta mtu ana akili na uelewa lakini hana busara na ujasiri, ana ujasiri lakini hana akili, huyu mheshimiwa amejaliwa kuwa na vyote yaani UJASIRI, UELEWA na AKILI!
Mchango wake mpaka sasa unaweza kulast kwa miaka zaidi ya 50 ijayo. Tunaomba aendelee hivyo hivyo!
 
kiukweli kambi ya upinzani inaonyesha mwelekeo mzuri wa kuikomboa nchi yetu kutoka mikono ya Mafisadi .Wanaofanya kazi nzuri wanasitahili kupongezwa! nakushangaa wewe unayemfahamu LISU kwa kuchunga mbuzi tu, na mambo yake mazuri huyajui. nipe address yako nikuandalie semina elekezi labda utajua mwelekeo wa mambo haya.
 
'Heri Slaa awe rais wa nchi hii lakini siyo Tundu Lissu awe mbunge.' Jakaya Mrisho Kikwete.
 
wadau, siku ya jumamosi wakati wa mdahalo kupitia star tv kati ya tundu lissu na naibu spika job ndugai, mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni tundu lissu, alisikika akijitapa kuwa bunge la 10 halijapata mbunge kama yeye

binafsi sioni kama ni busara kwake kujisifu kiasi kile, maana hiyo ni kuwafanya wabunge wenzie wote waliobaki akiwemo mwenyekiti wake freeman mbowe kuwa hawamfikii yeye aidha kwa uelewa au participations

imepata kutokea baadhi ya wabunge wakaropoka maneno ya kujisifu na wakashambuliwa sana humu jf mfano zitto kabwe pale aliposema hajengwi na kikwete bali anajijenga mwenyewe, alishambuliwa sana, je wakuu hii kauli ya tundu lissu kwamba hakuna mbunge kama yeye katika bunge la 10 haijakaa kii grandiosity zaidi?
 
sasa wewe unachokataa ni nini? tuambie mbunge gani anayemzidi Tundu Lissu ndio tutakuelewa
 
Tatizo waTZ ni wanafiki,sasa unataka kukataa nini? Ni kweli hakuna mbunge bora na mahili kama Tundu kwenye bunge la 10. Lakini baada ya Lissu ni MBOWE,MNYIKA,KAFULILA,ZITTO,MSIGWA,MDEE,LEMA na kwa magamba kidogo ni MKONO,KIGWANGALA na mbunge wa MWIBARA....!
 
NI wazi kwamba mule ndani kila mbunge ni bora kuliko wenzake kutokana na jinsi alivyo.
 
na huyu ni waziri bora wa magamba
avatar39673_5.gif
 
wadau, siku ya jumamosi wakati wa mdahalo kupitia star tv kati ya tundu lissu na naibu spika job ndugai, mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni tundu lissu, alisikika akijitapa kuwa bunge la 10 halijapata mbunge kama yeye

binafsi sioni kama ni busara kwake kujisifu kiasi kile, maana hiyo ni kuwafanya wabunge wenzie wote waliobaki akiwemo mwenyekiti wake freeman mbowe kuwa hawamfikii yeye aidha kwa uelewa au participations

imepata kutokea baadhi ya wabunge wakaropoka maneno ya kujisifu na wakashambuliwa sana humu jf mfano zitto kabwe pale aliposema hajengwi na kikwete bali anajijenga mwenyewe, alishambuliwa sana, je wakuu hii kauli ya tundu lissu kwamba hakuna mbunge kama yeye katika bunge la 10 haijakaa kii grandiosity zaidi?

Wana JF, nasikitika kuona jinsi tunavyopandikiza chuki kwa baadhi ya wanasiasa wetu. Mfano issue ya Mh. Zitto aliandika mwenyewe kwenye FB kuwa hajengwi na JK kisiasa ila anajengwa na umma, ila huku kwenye forum yetu ikanukuliwa kuwa ameandika hajengwi na JK ila anajijenga mwenyewe na hadi sasa baadhi ya members na wasomaji wanaelewa hivyo. Watu wengi walitoa comments za kudhihaki bila kuhakiki mada yenyewe. Hili linatokana na sisi wana JF kuaminiana kulingana na kanuni zetu, hivyo wengi huwa tunaichukulia mada ilivyo kama inavyowasilishwa. Upotoshaji huu umepelekea baadhi ya members kuuliza sources ili kupata uhakika na kuchangia kulingana na uhalisia. Nivema tunaoleta mada tuwasilishe kwa usahihi ili tusilete upotoshaji usio na maana.
 
wadau, siku ya jumamosi wakati wa mdahalo kupitia star tv kati ya tundu lissu na naibu spika job ndugai, mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni tundu lissu, alisikika akijitapa kuwa bunge la 10 halijapata mbunge kama yeye

binafsi sioni kama ni busara kwake kujisifu kiasi kile, maana hiyo ni kuwafanya wabunge wenzie wote waliobaki akiwemo mwenyekiti wake freeman mbowe kuwa hawamfikii yeye aidha kwa uelewa au participations

imepata kutokea baadhi ya wabunge wakaropoka maneno ya kujisifu na wakashambuliwa sana humu jf mfano zitto kabwe pale aliposema hajengwi na kikwete bali anajijenga mwenyewe, alishambuliwa sana, je wakuu hii kauli ya tundu lissu kwamba hakuna mbunge kama yeye katika bunge la 10 haijakaa kii grandiosity zaidi?
usipate taabu sana hii ni kawaida ya wanasiasa au huko kwenu wagombea huwa wanasemaje hata JK mwenyewe anajisifu, hata hivyo anaye mzidi LSSU ni nani ? hapa inategemea unaongelea nini
 
Kwa ujumla wabunge wengi ni wazuri (in mind), Kwa mfano wabunge wa magamba kinachowatatiza ni kukosa ujasiri kwamba watakapo iambia ukwel serikali watashughulikiwa na vikao vya chama, mfano Sitta ktk bunge la 9 walitaka kumfukuza uanachama, bali kwa sasa kawa mnafiki, tumemfaham upande wake wa pili.
And about Lissu binafsi namfaham mda mrefu tangu ajawa MB, hasa kwenye mijadala ya kitaifa inayorushwa na TV, makongamano. Ni mwanaharakati wa ukwel hasa ktk mambo yanayohusu taifa letu (Lissu is another level hata kamanda mbowe, dr Slaa i hop wanalifaham hilo). And tatizo la Kabwe Zitto anabadilika like Kinyonga, so tunashindwa kumpambanua (red, white, blue, black or pink).
 
Back
Top Bottom