uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,237
pia na nimatokeo ya wabunge wa chadema kususia vikao vya bunge.Duh Mambo ya Wabunge wa Ccm Kila Kitu Kusema Ndiyoooooo.....!!!
Hayo Ndiyo Madhara Yake.
pia na nimatokeo ya wabunge wa chadema kususia vikao vya bunge.Duh Mambo ya Wabunge wa Ccm Kila Kitu Kusema Ndiyoooooo.....!!!
Hayo Ndiyo Madhara Yake.
... Hahaaa, inanikumbusha enzi zake bibi kule mjengoni anawahoji.. '' wanaoafiki waseme NDIOOO nao kwa uwingi wao wanadakia Ndiyoooo tumeliwaa...Duh Mambo ya Wabunge wa Ccm Kila Kitu Kusema Ndiyoooooo.....!!!
Hayo Ndiyo Madhara Yake.
Hili swali chama tawala linawahusu maana lipo kisheria upande wa pili wakipinga bungeni siyoooo zinakuja sauti nzito za NDIYOOOOOOOOOOOOOOOKweli kwa pamoja mnakubaliana kupitisha asilimia NNE tuu jamani
Lissu wewe ni kichwa.
Unalizika taifa kupolwa?
Wewe Kama nguli wa Sheri's Una lisaidiaje taifa katiba dhahama hii?
Kama huwezi Huna maana hats kidogo.
Kuna wananchi wengine kazi yao ni kukosoa tuuu! Mchanga ukisafirishwa nje, Hawataki! Mchanga ukizuiwa kusafirishwa nayo Hawataki! Labda huo mchanga tuusonge ugali ndo watakubali!mbona kashindwa kutoa hata maoni ya nini kifanyike?
... Tayari amesaidia kutukumbusha kwamba tatizo siyo kukata matawi ya Mti bali kung'oa na mizizi!!! Hivyo serikali haraka ipeleke muswaada wa kurekebisha hiyo Sheria mbaya aliyosema Lissu, tena waipeleke kwa dharura kama ilivyo kuwa ule muswaada wa habari...Lissu wewe ni kichwa.
Unalizika taifa kupolwa?
Wewe Kama nguli wa Sheri's Una lisaidiaje taifa katiba dhahama hii?
Kama huwezi Huna maana hats kidogo.
KWA HATUA TULIOFIKIA SUALA LA MADINI SIO SUALA WATAWALA AU WAPINZANI,
NINI KIFANYIKE
hiyo ni njaa muulizeni amewahi kusupport jambo gani la serikali? huo ni upinzani wa kizamani badilika.
Mijitu mingine hata haieleweki.kama unamapenzi na nchi yako bado unachotakiwa siyo kulaumu bali nikutoa ushauri tuokoe hicho kilichobaki na siyo kulalamika na kulaum waliopita.pley your part!
Nadhani comment aliyota ni ushauri tosha. Maana ameshawaambia jambo fulan lina shida kisheria, wao kama wanatakiwa wafanye kaz iliyobakia baada ya hapo.Na yeye ni learned brother kwa nini asitoe ushauri?
Hv ww unapoambiwa wabunge wa ccm ndiyo nini maana yake?au na ww ni mpumbavuLissu wewe ni kichwa.
Unalizika taifa kupolwa?
Wewe Kama nguli wa Sheri's Una lisaidiaje taifa katiba dhahama hii?
Kama huwezi Huna maana hats kidogo.
Usilinganishe ndoa na mikataba. Mikataba ina kipengele cha namna gani ya kuvunjwa. Mikataba ina vipengele vya namna ya kusuluhisha migogoro au kutokuelewana kunapotokea mkiwa ndani ya mkataba. Mikataba ina vipengele vya wapi mpeleke kesi yenu endapo mnashindwa wenyewe kuelewana na kama mmoja wenu amekiuka mkataba. Mkataba sio ndoa, pale hakuna anayeoa wala kuolewa.Zinavunjwa ndoa sembuse mikataba!
Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amezungumzia sakata la makontena ya mchanga unaodaiwa kuwa na madini uliozuiwa katika Bandari ya Dar es Salaam, akisema madini mengine yaliyomo humo siyo mali ya Tanzania.
Lissu amesema kwa maoni yake Serikali haipaswi kuzuia madini hayo kusafirishwa kwenda nje kwa kuwa ni kukiuka mikataba na sheria ya madini.
“Hili halizungumzwi kabisa na liko katika mikataba. Madini mengine si yetu kwa sababu haihesabiwi katika asilimia mia ya dhahabu,” amesema mwanasheria huyo wa kujitegemea alipotembelea ofisi za Mwananchi.
Mbunge huyo amesema kwamba, kwa hoja za kodi Taifa halina chake katika suala la madini, isipokuwa ni asilimia nne ya pato inayolipwa na mwekezaji kama mrahaba kwa mujibu wa Sheria ya Madini ya mwaka 1998.
Lissu ameongeza kuwa sheria hiyo inampa mamlaka mwekezaji kuwa, iwapo anapatiwa leseni ya uchimbaji kile anachopata ardhini kinakuwa ni mali yake.
“Haki yetu ni asilimia nne tu ya mirabaha. Kwa kifupi, kwenye madini tumewapa (wawekezaji) madini bure, tena kisheria,” amesema.
Mwanasiasa huyo amesema anashangaa kuona mchanga unazuiwa bandarini wakati Rais John Magufuli alikuwa katika Baraza la Mawaziri wakati Sheria ya Madini ya mwaka 1998 na 2010 zikipitishwa.
Chanzo: Mwananchi
Una mwamini nani?Huyu jamaa huwa simwamini kaanza porojo zake kama kwa lowasa kumwita fisadi halafu akaanza kumtakatisha.
Utakula jeuri yako....Lissu wacha mambo ya kijinga, mbona GGM wanalipa corporate tax! Na hiyo 4% kwanza sio kodi ni kishika uchumba kama mahari.
Huwezi sema umetoa mahari basi umemaliza, utaendelea kutoa vingine na vingine.
Wanasema walitaka kuuza mgodi kwa 4bilioni hebu tuwalipe hiyo pesa wasepe watuachie tuchimbe wenyewe kama stamigold.
Wanasusa ili wasiwe sehemu ya kupitisha hayo tunayopigia kelele leo. Kwa idadi yao hawawezi kukwamisha chochote kinachoamuliwa na serikali ya CCM hata kama hakina maslahi kwa taifa.pia na nimatokeo ya wabunge wa chadema kususia vikao vya bunge.
Lissu wewe ni kichwa.
Unalizika taifa kupolwa?
Wewe Kama nguli wa Sheri's Una lisaidiaje taifa katiba dhahama hii?
Kama huwezi Huna maana hats kidogo.