Tundu Lissu kweli ni mtabiri mzuri

Tundu Lissu kweli ni mtabiri mzuri

With all due respect, kufanya maamuzi leo 2022 kwa kutegemea tafiti zilizofanyika mwaka 1955 siamini kama ni sawa. Dunia imebadilika sana, hasa kwenye swala la hali ya hewa na tabia nchi. Ningetegemea watu tuombe ifanywe study mpya ya athari ya shughuli ndani ya hifadhi, ili kuwe na latest information. Kama hatuamini vya serikali, waombe hata UN kupitia taasisi zake, watupe majibu ya wakati huu, sio mambo ya 1950s
 
Yanayotokea leo hii kule Ngorongoro tayari mh Lissu alisha yasema bungeni kitambo.

Sema tu ni kwakuwa alikuwa anachukuliwa poa kisa ni mpinzani lkn kama serikali ingelifuata mawazo yake na kuyafanyia kazi hili tatizo la leo lisingekuwepo.

Hakika CDM ina hazina ya viongozi wenye maono na akili kubwa sana hapa nchini.View attachment 2257618
CCM haina watu makini
 
Yanayotokea leo hii kule Ngorongoro tayari mh Lissu alisha yasema bungeni kitambo.

Sema tu ni kwakuwa alikuwa anachukuliwa poa kisa ni mpinzani lkn kama serikali ingelifuata mawazo yake na kuyafanyia kazi hili tatizo la leo lisingekuwepo.

Hakika CDM ina hazina ya viongozi wenye maono na akili kubwa sana hapa nchini.View attachment 2257618
Lisu Ni Nabii. Usirudi hku kwenye ushetani, jikalie huko utatuelimisha kutokea huko!
 
Yanayotokea leo hii kule Ngorongoro tayari mh Lissu alisha yasema bungeni kitambo.

Sema tu ni kwakuwa alikuwa anachukuliwa poa kisa ni mpinzani lkn kama serikali ingelifuata mawazo yake na kuyafanyia kazi hili tatizo la leo lisingekuwepo.

Hakika CDM ina hazina ya viongozi wenye maono na akili kubwa sana hapa nchini.View attachment 2257618
The guy is genius!
 
History ya mwaka 1955 haiwezi kukupa facts za hali halisi ya leo. Mfano, Mwanagilato, Kibugumo na Gezaulole yalikuwa mapori na Simba waliishi. Lakini masuala ya demographic kama idadi ya watu leo ni miji mikubwa. Sasa hata Ngorongoro hao Watanzania wenzetu Maasai population yao na activities zao za miaka 1950 si sawa na leo.

Kwa hiyo Lissu hapa kaonyesha tu harakati zake kama alivyokuwa Chama cha Wanssheria wa Mazingira (LEAT). Sioni point. Muhimu tu Maasai ni Watanzania washirikishwe vizuri na wao wajue Serikali haiwezi kuwafanyia baya, ina wapenda na kinachofanyika ni kwa manufaa yao na Watanzania wengine. Hizi kauli kama za Lissu zinawafanya ndugu zetu waona wanaopewa.#Kila Mtanzania asaidie jambo hili likamilike vizuri. 🙏🙏🙏
 
Lissu akili yake ni kubwa sana....

Watanzania wengi hawana mawazo binafsi,,, wao wamekaa kupinga kila jambo
 
Lissu akili yake ni kubwa sana....

Watanzania wengi hawana mawazo binafsi,,, wao wamekaa kupinga kila jambo
Akili kubwa gani hiyo ya kuItishia nchi kuwa tutashitakiwa MIGA na Acacia?
 
Yanayotokea leo hii kule Ngorongoro tayari mh Lissu alisha yasema bungeni kitambo.

Sema tu ni kwakuwa alikuwa anachukuliwa poa kisa ni mpinzani lkn kama serikali ingelifuata mawazo yake na kuyafanyia kazi hili tatizo la leo lisingekuwepo.

Hakika CDM ina hazina ya viongozi wenye maono na akili kubwa sana hapa nchini.View attachment 2257618
Aisee...
 
Back
Top Bottom