Tundu Lissu kweli ni mtabiri mzuri

Tundu Lissu kweli ni mtabiri mzuri

Yanayotokea leo hii kule Ngorongoro tayari mh Lissu alisha yasema bungeni kitambo.

Sema tu ni kwakuwa alikuwa anachukuliwa poa kisa ni mpinzani lkn kama serikali ingelifuata mawazo yake na kuyafanyia kazi hili tatizo la leo lisingekuwepo.

Hakika CDM ina hazina ya viongozi wenye maono na akili kubwa sana hapa nchini.View attachment 2257618

Siku zote CHADEMA kupitia wanachama wake, wabunge huwa tunazungumza mambo ya kizalendo kabisa kwa hoja kama hii ya Tundu Lissu lakini CCM inaziba masikio .
 
Siku zote CHADEMA kupitia wanachama wake, wabunge huwa tunazungumza mambo ya kizalendo kabisa kwa hoja kama hii ya Tundu Lissu lakini CCM inaziba masikio .
Ccm ni sawa na ngozi ya kenge
 
Lisuu namkubali Sana kuliko mbowe mbowe Yuko kimaslai Sana
 
Yanayotokea leo hii kule Ngorongoro tayari mh Lissu alisha yasema bungeni kitambo.

Sema tu ni kwakuwa alikuwa anachukuliwa poa kisa ni mpinzani lkn kama serikali ingelifuata mawazo yake na kuyafanyia kazi hili tatizo la leo lisingekuwepo.

Hakika CDM ina hazina ya viongozi wenye maono na akili kubwa sana hapa nchini.View attachment 2257618
Sijapenda tu ulivyotumia neno 'mtabiri' neno hili linaweza kufanya baadhi yetu tudhani kuwa kuna nguvu za ziada ndani ya Tindu lissu .
Tundu lissu ni mtu mwenye kutumia common sense yake vizuri, na siku ikitokea watanzania tukaamua kutumiaa common sense , basi wote tutakuwa kama Tundu lissu.
 
Back
Top Bottom