ArchAngel
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 4,516
- 3,753
Hawataweza.Nahofia watamuuwa tena.
Hawataweza.Nahofia watamuuwa tena.
Vipi mwenyekiti wako ameshatolewa kile kibetrii cha moyo?Vipi like goti lishajikunja?
Relax. Umepanic.MHUNI tuu huyu jamaa
Acha kumsemasema rais magufuli wewe beki tatu.Hatuhitaji rais kilema wa akili
Wewe kama humpendi tundu lissu relax. Usipanic.Tundu lissu ni shujaa kwa jambo gani. Kujeruhiwa kwa risasi haukumpa ushujaa wala sifa za kuwa Rais. Tanzania isifanywe nchi ya majaribio.
ngoja aje akivuruge chama maana kila mtu anataka awe raisWewe kama humpendi tundu lissu relax. Usipanic.
Huyu akirudi hapa NCHINI atatangaza kugombea URAIS na hii ni baada ya kuwa tayari AMEISHA FANYA MAZUNGUMZO NA WATU/MATAIFA BAADHI YENYE MASLAHI NA NCHI YETU....hivyo huyu jamaa anakuja KUWA MPIGANIA MASLAHI YA MATAIFA YA NJE NA SI YA WATANZANIA.....na mkubali mkatae LISSU ni chambo kwa ajili MABEBERU....
wanataka waje wauze nchi baadae hawa hatuwapi urais wa majaribio hapa tuna akili timamu
Kwani kuna mtu anateseka?Why asikae hukohuko hadi utawala huu upite.
Hatabiriki hawa hususani kipindi hiki ambacho vitendo vya utekaji vimekithiriHawataweza.
wanaweza kumteka ili asigombee urais yaani chama chao mafia sana sasa hivi wamemtelekeza maana anataka kuja kugombea ila akitaka kuwa mwenyekiti lazima atekweHatabiriki hawa hususani kipindi hiki ambacho vitendo vya utekaji vimekithiri
Yes wewe unatesekaKwani kuna mtu anateseka?
Hajielewi huyu mkuuKm ameandaa ndipo hapo twapaswa kuona kile kitengo chetu pendwa cha intelijensia kiking'amua
Na wewe unatesekaYes wewe unateseka
SijuiNa wewe unateseka
Hata mimi sijuiSijui
Mashujaa wasio wa kweli hushinda mitandaoni kuunga juhudi za mashujaa wa kweli.Shujaa wa kweli upigana mpaka kufa ndani ya nchi yake.