Tetesi: Tundu Lissu kutua nchini Dec 9, 2019

Status
Not open for further replies.
Huyu akirudi hapa NCHINI atatangaza kugombea URAIS na hii ni baada ya kuwa tayari AMEISHA FANYA MAZUNGUMZO NA WATU/MATAIFA BAADHI YENYE MASLAHI NA NCHI YETU....hivyo huyu jamaa anakuja KUWA MPIGANIA MASLAHI YA MATAIFA YA NJE NA SI YA WATANZANIA.....na mkubali mkatae LISSU ni chambo kwa ajili MABEBERU....
Mawazo ya wapumbavu hayawezi kutuchota akili.
Kawadanganye huko Lumumba
 
polisi haichagui wa kumlinda inalinda raia wote sasa yeye ni nani ana uspecial gani?
Kwani ukisikia neno "watu" unadhani wewe unahusika? Utakuwaje "MTU" kama unafikira za kinguruwe kama hizi?
 
Je unadhani wana dhamira safi na Lissu hata kama hawataweza kumdhuru tena?
Dhamira zao ni ovu mno. Hilo swala liko wazi mkuu. Kitachofanyika ni kumuundia lissu mizengwe ya hapa na pale (ikiwemo mahakamani) ili kumpunguza speed ila kumdhuru hawawezi.
 
Na Magu ni chambo kwa ajili ya nani?
Mbona hali inazidi kuwa tete!!?
Huyu akirudi hapa NCHINI atatangaza kugombea URAIS na hii ni baada ya kuwa tayari AMEISHA FANYA MAZUNGUMZO NA WATU/MATAIFA BAADHI YENYE MASLAHI NA NCHI YETU....hivyo huyu jamaa anakuja KUWA MPIGANIA MASLAHI YA MATAIFA YA NJE NA SI YA WATANZANIA.....na mkubali mkatae LISSU ni chambo kwa ajili MABEBERU....
 
Huyu akirudi hapa NCHINI atatangaza kugombea URAIS na hii ni baada ya kuwa tayari AMEISHA FANYA MAZUNGUMZO NA WATU/MATAIFA BAADHI YENYE MASLAHI NA NCHI YETU....hivyo huyu jamaa anakuja KUWA MPIGANIA MASLAHI YA MATAIFA YA NJE NA SI YA WATANZANIA.....na mkubali mkatae LISSU ni chambo kwa ajili MABEBERU....
Mkuu ulikuwa naye kwenye hayo mazungumzo
 
Now Confimed: Tundu Lissu kuwasili nchini tarehe 07.09.2019 baada ya mabadiliko ya ratiba.
------

Shujaa Mhe. Tundu Lissu anatarajiwa kutua nchini siku ya kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika tarehe 09.12 na kupokelewa na viongozi, wanachama na wafuasi wa vyama 9 vya upinzani ambavyo vimedhibitisha kushiriki kwenye mapokezi hayo. Baada ya kupokewa Mhe. Tundu Lissu anafikia kwenye moja ya hoteli mashuhuri jijini Dar-es-salaam na kuzungumza na Watanzania.

Moja ya ajenda kuu ni mweleko wa Tanzania kisiasa, kiuchumi na kijamii lakini vilevile atajikita katika mwelekeo ya nchi kwenye diplomasia ya kimataifa. Baada ya tarehe 09.12.2019 kunatarajiwa na kuwa na misa ya shukrani ambayo inatarajiwa kufanyika jijini Dar-es-salaam ikiongozwa na viongozi wa dini kutoka madhehebu mbalimbali. Katika hatua za sasa maandalizi yanaendelea kuhakikisha kunakuwepo na usalama wa kutosha nchini kwa uangalizi wa vyombo vya kimataifa.
siku hiyo sikutakuwa na misafara ya viongozi watakaokuja kwenye sherehe za uhuru? huku Kagame anapita kenge nyingine nayo inafuata kwa nyuma, akatue KIA aende zake Ikungi, watu wengine wanapendaga chokochoko tu,
 
siku hiyo sikutakuwa na misafara ya viongozi watakaokuja kwenye sherehe za uhuru? huku Kagame anapita kenge nyingine nayo inafuata kwa nyuma, akatue KIA aende zake Ikungi, watu wengine wanapendaga chokochoko tu,
Sheree zips za uhuru ambayo hela za Sheree hizo Dotto James na Magu wanazitafuna
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom