Tundu Lissu kurejea nchini

Tundu Lissu kurejea nchini

Kwa watu wa makamo watakumbuka jina la Oscar Kambona aliyekuwa Katibu Mkuu wa TANU enzi hizo. Alifungasha mizigo yake na kwenda kuishi Uingereza kwa miaka kadhaa. Baadaye kwa kupima upepo akatangaza anataka kurudi Tanzania. Mwalimu alipoulizwa kuhusu hilo akajibu kwamba Oscar hakuniaga wakati anaondoka. Sasa anasema anataka kurudi muulizeni yeye. Mimi hakuniuliza mawazo yangu kama arudi au la. Muda si muda kweli akarudi na kuanzisha chama cha upinzani. Akaitisha mkutano wa waandishi wa habari atangaze hadharani namba za akaunti za benki za Mwalimu na Rashidi Kawawa. Mkutano ukaendelea kwa masaa na kila wakati waandishi wa habari wanamkumbusha suala la akaunti. Hakuna akaunti yo yote iliyotajwa. Ilikuwa ni uzushi tu. Baada ya hapo akaugua na kufa na chama chake kikafia mbali. Tuone na Lisu mambo yatakuwaje.

..kumlinganisha Tundu Lissu na Oscar Kambona ni kutojitendea haki wewe mwenyewe, kabla hata ya sisi wasomaji wako.

..Kambona alikaa ughaibuni muda mrefu, na hakuwa akijishughulisha na habari za Tanzania, kiasi kwamba wananchi walimsahau.

..Mazingira ya Tundu Lissu kuondoka nchini ni tofauti kabisa na yale ya Oscar Kambona.

..Ushawishi wa Tundu Lissu ktk siasa za Tanzania ni mkubwa kuliko wa wanasiasa wengi walioko Tanzania sasa hivi.
 
Naamini naye dereva amepona ugonjwa wa kisaikolojia na atarudi na Mh Lissu
 
This time hawatamkosa. Kumbuka binadamu kajifunza kulenga bila kukosa. Nohofia maisha yake. Kama kuna uwezekano apewe ulinzi kama anaopewa mwandishi wa vitabu Salman Rushed wa kitabu cha Satanic verses.

Scotland yard wamepewa kazi ya kumlinda na kuangalia usalama Rushed tangu alipohukumiwa kifo na Ayatollah huko nchini Iran miaka ile 1980. Lissu anahitaji ulinzi tuacheni mambo ya masihara kwenye maisha ya mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku atakapo tua tu uwanja wa ndege nadhani watamkamata kwamba ameruka dhamana ya kesi zake zile na kumweka lock up
 
Siku atakapo tua tu uwanja wa ndege nadhani watamkamata kwamba ameruka dhamana ya kesi zake zile na kumweka lock up

..ubaya wowote ule dhidi ya Tundu Lissu utazidi kumjengea imani kwa wananchi.

..kumdhibiti, wanatakiwa wamuache huru afanye siasa bila usumbufu wowote.

..wahakikishe hakuna anayemdhuru kwa namna yoyote ile.

..vilevile waitishe uchunguzi huru kuhusu shambulizi lake, na kuhakikisha taarifa ya uchunguzi inawekwa wazi, na wahusika wanakamatwa na kufikishwa mahakamani.

..Wakifanya hayo, watakuwa wamemzima kabisa Tundu Lissu.
 
This time hawatamkosa. Kumbuka binadamu kajifunza kulenga bila kukosa. Nohofia maisha yake. Kama kuna uwezekano apewe ulinzi kama anaopewa mwandishi wa vitabu Salman Rushed wa kitabu cha Satanic verses.

Scotland yard wamepewa kazi ya kumlinda na kuangalia usalama Rushed tangu alipohukumiwa kifo na Ayatollah huko nchini Iran miaka ile 1980. Lissu anahitaji ulinzi tuacheni mambo ya masihara kwenye maisha ya mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Waliwezaje kumkosa mwaka Jana, pale walipowakodisha "triggers" mashuhuri ili wamwue??

Vivyo hivyo kwa sasa, ndiyo hawawezi kabisa, kwa kuwa yeye mwenyewe anajua anawindwa..........

Na dunia inajua anawindwa........

Kwa hiyo kama ambavyo malaika wa Mungu walimlinda na wauaji wale wa mwaka Jana...........

Hawa "triggers" wa sasa wasithubitu hata kidogo kutaka kuchukua maisha ya Lissu, kwa vile wataumbuka vibaya!
 
..ubaya wowote ule dhidi ya Tundu Lissu utazidi kumjengea imani kwa wananchi.

..kumdhibiti, wanatakiwa wamuache huru afanye siasa bila usumbufu wowote.

..wahakikishe hakuna anayemdhuru kwa namna yoyote ile.

..vilevile waitishe uchunguzi huru kuhusu shambulizi lake, na kuhakikisha taarifa ya uchunguzi inawekwa wazi, na wahusika wanakamatwa na kufikishwa mahakamani.

..Wakifanya hayo, watakuwa wamemzima kabisa Tundu Lissu.
Hawa hawa Jeshi la Polisi la IGP Sirro lililozuia wananchi wasivae T/Shirt zilizoandikwa PRAY FOR LISSU, ndilo unalolitaka limwachie Lissu afanye siasa kwa Uhuru??

Hiyo kuwezekana kwake ni NEXT TO IMPOSSIBLE!
 
..ubaya wowote ule dhidi ya Tundu Lissu utazidi kumjengea imani kwa wananchi.

..kumdhibiti, wanatakiwa wamuache huru afanye siasa bila usumbufu wowote.

..wahakikishe hakuna anayemdhuru kwa namna yoyote ile.

..vilevile waitishe uchunguzi huru kuhusu shambulizi lake, na kuhakikisha taarifa ya uchunguzi inawekwa wazi, na wahusika wanakamatwa na kufikishwa mahakamani.

..Wakifanya hayo, watakuwa wamemzima kabisa Tundu Lissu.
Katu malaika mkuu hawezi shuka chini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom