Bob Wine yeye waganda wamejitolea barabarani kuandamana hadi ikulu kushinikiza museven amwachie. Ninyi mmemuacha lisu anapigwa risasi hamjafanya chochote, zaidi ya kujificha nyuma ya keyboard.Karibu nyumbani kaka wa taifa Bobi Wine wa Tanzania.
Le mutuz yupo kwa mganga wa kienyeji tokea juzi akinahaha maana anajua Lisu akirejea atawataja wote walitumwa Dodoma kwenda kumpiga RisasiMsiyempenda anarudi.
Na wewe unajiita great thinker
Mbona wewe hatujakuona barabarani au upo upande wa wapiga risasi.Bob Wine yeye waganda wamejitolea barabarani kuandamana hadi ikulu kushinikiza museven amwachie. Ninyi mmemuacha lisu anapigwa risasi hamjafanya chochote, zaidi ya kujificha nyuma ya keyboard.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ushamba wako, Mungu aliyemlinda mwanzo sasa kaamua kumlinda mara 100 na yeyote atayepanga kumdhuru malaika watamuonyesha mapema.Aendelee kubwabwaja safari hii watatoboa mdomo asilaumu mtu, siasa zenu za magharibi mlete dunia ya 3huko jiwe halijaribiwi.
Anatangaza kurudi ili kupima ubaya wenu na roho zenu mbaya kumbuka wapo watu wazuri miongoni mwenu wanampatia taarifa zote na akirejea ataanika kila kitu Live bila chenga.Hili tangazo la kurudi ni la pili...utadhani yale matangazo ya ndoa kanisani
Kwani mm naongozwa na mange?Mbona wewe hatujakuona barabarani au upo upande wa wapiga risasi.
Hili tangazo la kurudi ni la pili...utadhani yale matangazo ya ndoa kanisani
Kontena zipi? Kwani hujui kuwa ile ya kontena ni Sinema feki? Mpango vs Bashite wamekaa wakabuni Sinema ya kuwahadaa watanzania ili Serikali ionekane ipo fear kwa kila upande bila kujali cheo, watanzania wa sasa wameamka wanajua maigizo yote ya CCM na Serikali yao.Lissu bhana kaona hapati airtime kaona acha aongee kidoogo,mwambieni sasa hivi tuko kwenye mjadala wa kitaifa kuhusu makontena
Tunasubiri Tangazo la tatu na la mwisho ...Anatangaza kurudi ili kupima ubaya wenu na roho zenu mbaya kumbuka wapo watu wazuri miongoni mwenu wanampatia taarifa zote na akirejea ataanika kila kitu Live bila chenga.
Le mutuz na kikundi chake wazee wa ile Nissan nyeupe hawana raha kutwa wapo kwa waganga wa kienyeji wakiamini huko pengine watanusurika kutajwa live pindi Lisu akirejea nchini.TUNDU LISSU NI MTANZANIA PEKEE NINAYEMWAMINI KULIKO MTU YEYOTE YULE, HAKIKA NINAKUOMBEA KWA MUNGU AKULINDE UWE SALAMA KUTUTUMIKIA WATANZANIA WENZIO, ANAYEITAFUTA ROHO YAKO NA AENDELEE KUPOTEZA NDUGU ZAKE.
hao akili kubwa Lissu hawaweziHuyo Bashite+LeMutuz+Muroooo
Hao matumbo moto hivi sasa, kwa kuwa mbaya wao anarudi.....
Wana wasiwasi sana hawana Aman mioyoni mwao wanahaha kila kona ndiyo maana Bashite kaamua kutengeneza Sinema feki ya kontena ili kuwahadaa watanzania waone kuwa hayupo juu ya sheria kama ilivyozoeleka sasa.Huyo Bashite+LeMutuz+Muroooo
Hao matumbo moto hivi sasa, kwa kuwa mbaya wao anarudi.....