Tundu Lissu kurejea nchini

Tundu Lissu kurejea nchini

Ana beep na kujipigia yeye mwenyewe. Hatuna haja na siasa zake. Nchi imetulia tangu aondoke . Bora wakae huko huko.
Kabisa toka aondoke nchi imetulia hakuna mikelele yake ya kujiuza sura magazetini Kila siku.Mbowe upoooo ????? mgombea uenyekiti wa kiti chako huyo anarudi . Uenyekiti wako uko hatarini.Anaondoka Na drip mikononi ikiwa imeshikiliwa na mkewe kumuwahisha awahi uchaguzi mkuu wa Chadema.
 
TAARIFA ZINADOKEZA ATAPOKELEWA NA MWENYEKITI WA CCM TAIFA NA KUJIUNGA CCM RASMI
 
Kabisa toka aondoke nchi imetulia hakuna mikelele yake ya kujiuza sura magazetini Kila siku.Mbowe upoooo ????? mgombea uenyekiti wa kiti chako huyo anarudi . Uenyekiti wako uko hatarini.Anaondoka Na drip mikononi ikiwa imeshikiliwa mkewe kumuwahisha awahi uchaguzi mkuu wa Chadema.
Hizo kelele unaziona wewe mvuta bangi pekee, watanzania hawaoni kelele zozote, Nchi haijatulia kuna unyama mwingi mbafanya ikiwemo kupora ushindi kwenye chaguzi, kuwahujumu wapinzani, kuwabambikia kesi nk, hizo propaganda za kishamba za kumchonganisha Lisu na mbowe juu ya cheo cha Uenyekiti wa chadema zimepitwa na wakati ni mazuzu na vilaza kama wewe wanaweza kukaa wakavariri, Dua zenu za kishetani zimefeli ndiyo maana Le mutuz na genge lake wamepagawa wanawatuma kuja kutengeneza uzushi na Uongo wa kila Aina.
 
TAARIFA ZINADOKEZA ATAPOKELEWA NA MWENYEKITI WA CCM TAIFA NA KUJIUNGA CCM RASMI
Wewe unaota ndoto za mchana??

Kwa kuwa mmezoea kununua wapinzani, mnadhani mtamnunua na Lissu??

Hiyo sahauni nyinyi magamba wa Lumumba
 
Arudi tusikie story zingine za kuendelea kumficha dereva wake ambae amefichwa kutokana na siri aliyonayo huu ya waliomshambulia Lissu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unaota ndoto za mchana??

Kwa kuwa mmezoea kununua wapinzani, mnadhani mtamnunua na Lissu??

Hiyo sahauni nyinyi magamba wa Lumumba
Le mutuz yupo kwa waganga kapagawa maana anajua Lisu akimtaja lazima atashindwa kuzurula usiku kwenye kumbi za starehe kutokana na hasira za nguvu za umma, yupo busy kuhakikisha ikiwezekana Lisu awe kiziwi , Dua za Le mutuz ni za kishetani ni hatari sana.
 
natamani abaki huko huko tu jamani sina imani kbs na nchi yangu! bora abaki uhamishoni!ILA MUNGUYUPO!
 
Yeye mwenyewe anajua kuwa anawindwa.....

Dunia nzima hivi sasa inajua anawindwa......

Yeye mwenyewe kwa kauli yake amesema atarudi.....

Halafu mfanye tena jaribio la kumuua.......

Ndipo muijue dunia itareact vipi!

Hivyo viti vya madaraka mnavyovimiki sasa mtaviona vya moto!
Mkuu haya yote maneno yangu!,mbona mimi sio mpenzi wa chama chochote cha siasa...kwa hili mimi niko upande wa Lissu sio kwasababu za kisiasa lakini kwasababu ya kutaka kudhulimiwa maisha yake kwa kile anachokiamini..
li.jpg
 
TUNDU LISSU NI MTANZANIA PEKEE NINAYEMWAMINI KULIKO MTU YEYOTE YULE, HAKIKA NINAKUOMBEA KWA MUNGU AKULINDE UWE SALAMA KUTUTUMIKIA WATANZANIA WENZIO, ANAYEITAFUTA ROHO YAKO NA AENDELEE KUPOTEZA NDUGU ZAKE.
Umeandika hivyo wakati una wazazi nao Watanzania. Kama sio kufyatuka huko ni nini!
 
Rudi nyumbani kumenoga, Tundu Lisu anakuja kunogesha zaidi.... Huu mchezo hauhitaji hasira.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa kuwa mchezo wa siasa hauhitaji hasira.......

Unapewa dongo kwenye jukwaa la kisiasa, nawe wajibu wako ni kulijibu kwa njia hiyo hiyo ya jukwaa la kisiasa

Sivyo wanavyofanya hawa wenzetu kwa kutumia "pyu pyu" kukunyamazisha........

Huo ni ushamba na ulimbukeni
By Zitto Kabwe
 
Back
Top Bottom