Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,383
- 81,847
Mataga wenzako hasira zimepoa poa kidogo baada ya zile siku 21! Wewe ndiyo kwaaanza zimeanza!!Umendika kiandazi sana wewe boya
Mataga wenzako hasira zimepoa poa kidogo baada ya zile siku 21! Wewe ndiyo kwaaanza zimeanza!!Umendika kiandazi sana wewe boya
Upinzani hasa Tundu Lissu na Chadema umeshinda kwa 100% ajenda zao zote walizozisimamia Leo mama Samia ndio anazifanyia kazi .
Nakumbuka Tundu Lissu alizunguka nchi na kukusanya maelfu ya watu na kuwaambia ukweli juu ya utawala wa Magufuli.
Watu walielewa ila somo halikuwaingia waliokuwa watawala wa utawala wa Hayati Magufuli.
Sasa Mama anawaumbua kwamba ukitaka kutawala vema lazima usimamie kile watu wengi wanachokitaka.
Kuanzia Sera za uchumi
Sera za elimu
Sakata la corona
Swala la Democrasia
Maswala ya TRA
Jinsi ya kuvuta wawekezaji
Uhuru wa vyombo vya habari
Kuongeza mishahara kwa wafanyakazi
Ajira mpya kwa vijana
Hali ya mahakama na binge kuwa hoi
Ukisikiliza hotuba za lissu wakati anazunguka nchi mwaka Jana ndio utanielewa.
Leo ndio wimbo wa taifa wa chama kile kile kilicho madarakani.
Liwe fundisho kwa watawala wa kiafrika kuwa tunatakiwa kuwa na siasa za hoja sio polojo na publicity kama ilivyokuwa utawala wa Magufuli.
Kwamba Leo waliokejeli hoja za Tundu lissu Leo ndio vipaza sauti wa hoja hizo hizo za Mama samia.
Tujifunze kuweke akiba ya maneno.
Kama ni hivyo basi CHADEMA na nyumbu wenzao waunge mkono juhudi za Samia.
Ingekua bora sana kama ungempinga kwa hoja mtoa madaUmendika kiandazi sana wewe boya
Tunajua chawa wa marehemu mnapitia hali ngumu sana 😁Umendika kiandazi sana wewe boya
Low IQ always destroy the whole brain systemSomo la ushoga na kushitakiwa MIGA hapo ametoa kweli
Siku zote na jua upande wa pili (upinzani huwa unamulika pale serikali ilipokosea au kushindwa na nn kinatakiwa) ila kwa huku Africa na baadhi nchi za mashariki ya kati inaonekana upinzani unataka kuwanyang'anya keki mdomoni,, kumbe siyo) chama changu cha CCM tusipo angalia tutukuja kuondoka madarakani bila kupenda,, kwa viboko,, kupigwa mawe,, kwa kushindwa kuongoza nchi!!!!
Ok sawa
Umeisahau sera ya ungese! Au na wewe hukulielewa hilo somo?Upinzani hasa Tundu Lissu na Chadema umeshinda kwa 100% ajenda zao zote walizozisimamia Leo mama Samia ndio anazifanyia kazi .
Kama ni hivyo basi CHADEMA na nyumbu wenzao waunge mkono juhudi za Samia.
Wewe msichana huwaga unaniacha hoi kwa huu utumbo wako.
Kama ni hivyo basi CHADEMA na nyumbu wenzao waunge mkono juhudi za Samia.
Upinzani hasa Tundu Lissu na Chadema umeshinda kwa 100% ajenda zao zote walizozisimamia Leo mama Samia ndio anazifanyia kazi .
Nakumbuka Tundu Lissu alizunguka nchi na kukusanya maelfu ya watu na kuwaambia ukweli juu ya utawala wa Magufuli.
Watu walielewa ila somo halikuwaingia waliokuwa watawala wa utawala wa Hayati Magufuli.
Sasa Mama anawaumbua kwamba ukitaka kutawala vema lazima usimamie kile watu wengi wanachokitaka.
Kuanzia Sera za uchumi
Sera za elimu
Sakata la corona
Swala la Democrasia
Maswala ya TRA
Jinsi ya kuvuta wawekezaji
Uhuru wa vyombo vya habari
Kuongeza mishahara kwa wafanyakazi
Ajira mpya kwa vijana
Hali ya mahakama na binge kuwa hoi
Ukisikiliza hotuba za Lissu wakati anazunguka nchi mwaka Jana ndio utanielewa.
Leo ndio wimbo wa taifa wa chama kile kile kilicho madarakani.
Liwe fundisho kwa watawala wa kiafrika kuwa tunatakiwa kuwa na siasa za hoja sio polojo na publicity kama ilivyokuwa utawala wa Magufuli.
Kwamba Leo waliokejeli hoja za Tundu lissu Leo ndio vipaza sauti wa hoja hizo hizo za Mama samia.
Tujifunze kuweke akiba ya maneno.
..sababu alikua MTU mbaya...Kama si kwako basi Kwa wengine walio wengi nchi hii..Sijui kwanini machadema yanateseka sana na hayati
Upinzani hasa Tundu Lissu na Chadema umeshinda kwa 100% ajenda zao zote walizozisimamia Leo mama Samia ndio anazifanyia kazi .
Nakumbuka Tundu Lissu alizunguka nchi na kukusanya maelfu ya watu na kuwaambia ukweli juu ya utawala wa Magufuli.
Watu walielewa ila somo halikuwaingia waliokuwa watawala wa utawala wa Hayati Magufuli.
Sasa Mama anawaumbua kwamba ukitaka kutawala vema lazima usimamie kile watu wengi wanachokitaka.
Kuanzia Sera za uchumi
Sera za elimu
Sakata la corona
Swala la Democrasia
Maswala ya TRA
Jinsi ya kuvuta wawekezaji
Uhuru wa vyombo vya habari
Kuongeza mishahara kwa wafanyakazi
Ajira mpya kwa vijana
Hali ya mahakama na binge kuwa hoi
Ukisikiliza hotuba za Lissu wakati anazunguka nchi mwaka Jana ndio utanielewa.
Leo ndio wimbo wa taifa wa chama kile kile kilicho madarakani.
Liwe fundisho kwa watawala wa kiafrika kuwa tunatakiwa kuwa na siasa za hoja sio polojo na publicity kama ilivyokuwa utawala wa Magufuli.
Kwamba Leo waliokejeli hoja za Tundu lissu Leo ndio vipaza sauti wa hoja hizo hizo za Mama samia.
Tujifunze kuweke akiba ya maneno.