nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,609
- 4,097
Sisi wanazi tumemmisi Sana. Tumechoka na waimba mapambio ya kusifia kila kitu mpaka inakera.
Mwamba njoo ingia Tanzania hawatakufanya kitu.
Sasa ni wazi kuwa Kenya ndio taifa kubwa Africa mashariki na kati.
Wagonjwa wa Burundi, South Sudan na Tanzania kimbilio lao ni Kenya.
Wakimbizi wa kisiasa siku hizi ni Kenya sio Tanzania tena.
Hongereni Sana Kenya.
Angalieni hizo picture, leadership characteristics
Mwamba njoo ingia Tanzania hawatakufanya kitu.
Sasa ni wazi kuwa Kenya ndio taifa kubwa Africa mashariki na kati.
Wagonjwa wa Burundi, South Sudan na Tanzania kimbilio lao ni Kenya.
Wakimbizi wa kisiasa siku hizi ni Kenya sio Tanzania tena.
Hongereni Sana Kenya.
Angalieni hizo picture, leadership characteristics