UCHUNGUZI HURU UMETHIBITISHA BILA SHAKA YOYOTE KWAMBA MH TUNDU LISSU NDIYE MWANASHERIA BORA KABISA KUWAHI KUWEPO KWENYE ENEO LA MAZIWA MAKUU TANGU KUUMBWA KWA MBINGU NA ARDHIPinga,galagala,suta,tunga ngonjera zote mwisho Wa game tundulisu ni survivor ambaye hana chembechembe ya uoga tena.
Nimemsikiliza tundulisu Wa DW,BBC Na anacho andika hivi Sasa ninauona moto mkali sana ndani yake, ni mtu ambaye amejaa ujasiri mkubwa ,matumaini ya ajabu sana.
Tundulisu ana moto ndani yake ambao hauzimiki Kwa fire extinguisher ya upanga Wala risasi tena.
Kama kuna muujiza ambao upinzani umepata ni survival ya huyu jamaa, upinzani utanyanyuka kupitia huyu jamaa,anakuja Na moto mkali ,mbaya Na pengine ki psychology anavuruga mipango mingi sana.
Wakuu wengi wameshindwa kusimamia misimamo yao lakin huyu jamaa ni active na special contender Wa JPM.
Let's get it straight Tundulisu can knock out somebody psychologically.
Kipsychology mtu anayenusurika kufa ama kuuwawa hua ana nguvu ya ajabu sana either ya Mungu ama mashetan, whatever the creator u name it ,lakin 2019 kuna mtu hatasinzia salama.
Mtu duni kama Francis Mutungi kumpa mamlaka makubwa namna ile ni matusi makubwa sana kwa watanzaniaHuku sheria imepita eti msajili wa uchaguzi ndiye mchaguaji wa wagombea uraisi. Jiwe unatutafuta wa-Tanzania.
Hii Spent Force mbona inawahangaisha sana sasa ? Wanataka hadi kuivua ubunge!Lisu is already a spent force. He can only knock himself psychologically; fortunately.
Kitendo cha kutumia bunduki kutaka kumuua huashiria kushindwa kwa mbinu za kisiasa. Kama walishindwa kummaliza kisiasa tokea mwaka 2010-2017 unadhani wataweza mwaka 2019-2020 ???
Tupo watanzania zaidi ya milioni 55. Kila mtu asikilizwe, nani asikilize? Nimeshamsikiliza, nimsikilize mara ngapi?Anasema nini, vituvcyo na manufaaa kwa wananchi wetu.
Tupo watanzania zaidi ya milioni 55. Kila mtu asikilizwe, nani asikilize?
Tupo watanzania zaidi ya milioni 55. Kila mtu asikilizwe, nani asikilize? Nimeshamsikiliza, nimsikilize mara ngapi?
.Kaiulize hiyo serikali, unaniuliza mimi ili iweje?
Pinga,galagala,suta,tunga ngonjera zote mwisho Wa game tundulisu ni survivor ambaye hana chembechembe ya uoga tena.
Nimemsikiliza tundulisu Wa DW,BBC Na anacho andika hivi Sasa ninauona moto mkali sana ndani yake, ni mtu ambaye amejaa ujasiri mkubwa ,matumaini ya ajabu sana.
Tundulisu ana moto ndani yake ambao hauzimiki Kwa fire extinguisher ya upanga Wala risasi tena.
Kama kuna muujiza ambao upinzani umepata ni survival ya huyu jamaa, upinzani utanyanyuka kupitia huyu jamaa,anakuja Na moto mkali ,mbaya Na pengine ki psychology anavuruga mipango mingi sana.
Wakuu wengi wameshindwa kusimamia misimamo yao lakin huyu jamaa ni active na special contender Wa JPM.
Let's get it straight Tundulisu can knock out somebody psychologically.
Kipsychology mtu anayenusurika kufa ama kuuwawa hua ana nguvu ya ajabu sana either ya Mungu ama mashetan, whatever the creator u name it ,lakin 2019 kuna mtu hatasinzia salama.
Mr Masumbuko akimwangalia Lissu kwenye zile interview tokea pale magogoni nahisi huwa anatamani kupenya kwenye TV na amkamate jamaa.
huu sio moto wa kuzimwa na Bashite, huu ni mtambo mpya nyuklia zaidi ya zile za Kiduku, mawe na majiwe yatapasuliwa, watu wenye makalio yao ya kutuna yatanywea, wasiojulikana watajulikana...Lisu ni fireeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kajiuze kwa hao wazungu wako, kama Lisu.
Alitakiwa akae na watu wenye hekima na busara wamsaidie namna ya kumdhibiti Lissu kisiasa pasipo kutumia bunduki. Yeye akaamuwa kuwashirikisha akina Makonda, le-mbebys et-al, angalia upupu walio utengeneza sasa. Mbaya zaidi wazidi kukosea hawataki kabisa kujiuliza Lissu kafikaje huko aliko na anasimama wapi kuongea hicho anacho kiongea sasa hivi. Mtu anaongelea kupigwa risasi kupungua kwa usalama, wao wanajibu ......lkn pia tumejenga sgr, tumenunua ndege, ...........yahani pamoja na kupiga risasi na kuteka na kupoteza tumejenga reli pia,tumenunua ndege mpya kwa cash, yahani utetezi wa kipumbavu kabisa.Mr Masumbuko akimwangalia Lissu kwenye zile interview tokea pale magogoni nahisi huwa anatamani kupenya kwenye TV na amkamate jamaa.
Binafsi naona ni more credit kwa Magufuli.. Anaongezewa world popularity.Alitakiwa akae na watu wenye hekima na busara wamsaidie namna ya kumdhibiti Lissu kisiasa pasipo kutumia bunduki. Yeye akaamuwa kuwashirikisha akina Makonda, le-mbebys et-al, angalia upupu walio utengeneza sasa. Mbaya zaidi wazidi kukosea hawataki kabisa kujiuliza Lissu kafikaje huko aliko na anasimama wapi kuongea hicho anacho kiongea sasa hivi. Mtu anaongelea kupigwa risasi kupungua kwa usalama, wao wanajibu ......lkn pia tumejenga sgr, tumenunua ndege, ...........yahani pamoja na kupiga risasi na kuteka na kupoteza tumejenga reli pia,tumenunua ndege mpya kwa cash, yahani utetezi wa kipumbavu kabisa.
Mnamuweka ndani Mbowe, kagurumjuli ndio mzizi anatembea kifua mbele, yaani hii nchi, ni vibaya kumuhukumu mtu, lakini kuna watu huko siku ya mwisho watageuzwa kuni aisee, kama kagurumjuli angefata kama sheria inavyosema, nina uhakika dada wa watu asingeuwawa, utatoaje viapo kwa chama tawala na wapinzani uwanyime, wametumia njia zote lakini bado wakanyimwa, kwenda kuvifata ofisini, maskini mkamuua dada wa watu aliyekuwa anajiandaa kwenda field na bado jamaa anatembea kifua mbele ati mbowe ndio waliomuua, yaani aisee