Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,509
- 6,863
Tulia tu kidogo, utamwelewa Tundu. Soma ukiwa umeweka jazba pembeni.Lisu anapoteza mwelekeo japo mkulu kapotea zaidi
Khaaa, hivi waliokua wakiomba mikataba na wawekezaji iwe inajadiriwa bungeni ni kina nani? Unalikumbuka sakata la Buzwagi lililompa umaarufu Zitto? Tundu alikua mwana harakati tu mtaani wakati ule but one day akiwa ch 10 nilimwona akiuonesha mkataba ule, sijui aliuiba sehemu, don't know.Hawa wa upinzani si walipiga kelele kabla nchi inapoteza pesa, sasa haya wanayoyaongelea now je waliwahi kupendekeza bungeni kabla!?
Umemsikia mkulu wakati anazindua fly over ya Ubungo wewe? Siku ambayo Nape alikua anaunda tume ya kumchunguza Makonda, irudie tu ile hotuba and then sijui kama utasema tena hiki ulicho kisema.unafiki na kujitafutia mtaji kwa wananchi kama unaipenda nchi yetu si ungemuandikia waraka kwake ukamshauri wewe ni kumponda hauna lengo la kuikuza nchi kiuchumi. wewe huo mfano wa bolivia ungemwambia. ila kila kukicha ni kumkosoa na sio kushauri, mpe way forward