Tundu Lissu: Hotuba ya Rais Magufuli kuhusu Makontena ya Mchanga, inatia shaka ya rule of state

wewe ukituliza ubongounaweza hata mshauli rais.
ila kwa domo lako bovu lisilo na staha ,hata mimi diwezi kukusikiliza hata uje na point.
we msomi uchwars ebu toa udhauri kwa staha.
we unafikiri kuongea ovyo ndio kiki?

Ndiyo maana hata darasani kuna wanaopata ZERO si sababu hawajui sababu wanafikiria kama wewe,anamchukia Mwalimu na somo pia matokeo yake anazungusha
 

Umeshausoma huo MKATABA?Wanaotoa ushauri wameusoma na wanatuelekeza nini tufanye.Uko busy kuangalia yuko Chama gani
 
Nnchi ni yetu sote,madini yapo nchini kwetu. Ni muhimu sana rasilimali hii inufaishe wote tujaribu kutafuta njia ya kusaidia ili mali hii inufaishe uma wa watanzania na si vinginevyo.
 
Basi utakua hujui maana ya upinzani, washauri wake wapo, huyu ni mpinzani ni mkosoaji sio waziri au katibu wa madini.
 
Hawa wa upinzani si walipiga kelele kabla nchi inapoteza pesa, sasa haya wanayoyaongelea now je waliwahi kupendekeza bungeni kabla!?
kipi ambacho upinzani inapendekeza bungeni wabunge wenu wa CCM wakakubali? Kwanza juzi si JPM kasema hakuna kuwapa airtime upinzani? Nyinyi endeleeni kunyoosha nchi halafu tuone kama haijakatika.

Makonda Oyeeeeee(kwa sauti yako)
 
unaambiwa 70% ya extraction na pu rification ya dhahabu inafanyika hapa na miche ya dhahabu inapakiwa kwenye ndege inaondoka.

mchanga ambao una perentage ndogo ya dhahabu na madini mengine ndo una pelekwa japan

wewe badala ya kuhoji tunanufaikaje kwenye hiyo 70% ya dhahabu ambayo inaondoka bila kificho unahoji makombo yenye 30% nyie mna akili kweli?? ccm imewaroga
 
Very sorry kwa vijana WA Lumumba waliomo humu! Mada kama hii imewashinda kuielewa, hawaoni hoja zozote, wameishia kwenye kuonesha Ubashite wao! Tulieni, someni tena na tena,ili tuvuke kuna mambo ya Muhimu sana Lissu kashauri!
 
Rais mwenyewe kushauriwa sasa lissu akae kimya bila kusema ukweli,naona pombe imekaa kichwan
 
Umaarufu ule ule wa waafrika, anasubiri jambo litokee ndipo ajichukulie maujiko mbele ya watu wasioweza kuyatazama mambo kwa jicho la tatu.

Waafrika tunao ugonjwa wa kuwa reactive badala ya kuwa proactive. Wazungu waliotutawala hujifunza kuwa proactive, hujitahidi kadri wawezavyo ili wawe ni waanzilishi na ideas za kwao wenyewe badala ya kuwa wakosoaji wa ideas za wengine.
 
CHADEMA WAMEPOTEZA UELEKEO
HAWAONGEI KWA FAIDA YA NCHI
WANAPINGA MAZURI YA SERIKALI
PUMBAVU KABISA
 
Utamshauri mtu ambaye hashauriki? Kwa akili unashinda kuelewa kuna mtu analipwa mshahara kwa kodi kazi yake kumshauri raisi anakula mshahara bure.
 
TUNDU LISSU NDO KIGEUGEU KABISA HANA AKILI
MAMBO YA TAIFA ANALETA UCHAMA
PUMBAVU KABISA
ACHA UJINGA TUNDULISU NA CHADEMA KIUJUMLA
NYIE NI MAJAMBAZI AMBAO HAMJAPEWA BUNDUKI
 
Hashauriki, hapangiwi na hajaribiwi.
 
CHADEMA MMEPOTEZA UELEKEO
Tatizo siyo nyie tatizo ni akili zenu "
Hawa wa upinzani si walipiga kelele kabla nchi inapoteza pesa, sasa haya wanayoyaongelea now je waliwahi kupendekeza bungeni kabla!?
Lisu anapoteza mwelekeo japo mkulu kapotea zaidi


CHADEMA WAMEPOTEZA UELEKEO
HAWAONGEI KWA FAIDA YA NCHI
WANAPINGA MAZURI YA SERIKALI
PUMBAVU KABISA
 
Anatumia mbinu za kibashite bashite. Mara ooh yumo kjgogo kwenye orodha
 

Huoni aibu kuandika hayo uliyoyaandika kwenye nyekundu hapo?
 
Hawa wa upinzani si walipiga kelele kabla nchi inapoteza pesa, sasa haya wanayoyaongelea now je waliwahi kupendekeza bungeni kabla!?
Bunge gani? Bunge hili la Tulia? Thubutu yako!! Tulia akikalia kiti cha speaker anajiona yeye =mungu =bashite. Acha muisome namba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…