Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,615
- 10,119
Alafu hakuna mfalme yeyote wa palestina kwenye historiaIsrael kama nchi ilitambulika rasmi na Umoja wa mataifa mwaka 1948. Lakini hiyo haimaanishi kabla yake haikuwepo.
Tanganyika ilitambulika na Umoja wa Mataifa lini? Je, inamaanisha nchi ya Tanganyika au ardhi ambayo sasa inaitwa Tanganyika, kabla ya 1961, haikuwepo?
Na kabla ya kuanzishwa Umoja wa mataifa ina maana hakukuwepo na nchi hata moja?
Canaan ilikuwepo tangu enzi kabla ya Yesu. Na ni kutoka kwenye hiyo ardhi ya Canaan, kumepatikana Jordan, Lebanon, Israel, na eneo jingine lilitengeneza sehemu ya Misri, Iraq, na Syria.