Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,559
- 41,077
Wayahudi kama wasingewekeza sana kwenye usalama, huenda mpaka sasa jamii hiyo isingekuwepo Duniani. Watu hawa, ukiacha wale waliopo Ulaya na America, wanaishi katikati ya maadui zao, huku matendo ya kila upande yakizidisha uhasama zaidi na zaidi.
Leo hii ndugu, jamaa na familia zote ambazo wapendwa wao waliuliwa kinyama na magaidi wa HAMAS ile tarehe 7 October nchini Israel, watakuwa na uadui wa kudumu dhidi ya wapalestina kwa miaka mingi ijayo.
Na wale ndugu, watoto, na jamaa wa familia za Wapalestina ambao ndugu zao wameuawa na majeshi ya Israel katika vita ya kulipiza kisasi dhidi ya Hamas, watakuwa maadui wa kudumu wa Israel.
Hata hivyo, kumbukumbu zinaonesha ni Israel ambayo imewahi kufanya mauaji dhidi ya viongozi wa makundi adui zake, hata wakiwa kwenye mataifa makubwa, kwa mafanikio makubwa, kuliko Taifa lolote. Jambo ambalo linaishangaza Dunia nzima. Angalia msululu wa viongozi wa makundi adui waliouawa na Mosad nje ya Israel:
Mwaka 1956
Misri: Mustafa Hafez
Jordan: Salehe Mustafa
Mwaka 1962 - 1965
Germany: Heiz Kruig
Uruguay: Herberts Cukus
1972 - 1979
lebanon: Basdam Abu Sharif, Ghasam, Kanafan, Kamar Adwan, Mohammad Youssef, Kamar Nasser, Ali Hassan
Italy: Abdel Wael Zwaiter
France: Mahmoud Hamshari, Basil Al Kubaisi, Mohammad Boudia
Cyprus: Husein Al Bashir
Greece: Zaid Muchasi
Germany: Wade Haddad
1980 -1989
France: Yahia El Mashad
Brazil: Jose Alberto
Greece: Mamoun Meraish, Khalid Nazzal, Munther Abu
Tunisia: Abu Jihad
Misri: Said Bedair
1990-1999
Belgium: Gerald Bull
Lebanon: Abbas El Musawi
France: Atef Bseiso
Malta: Fathi Shaqaqi
2000 -2009
Lebanon: Mahmoud Majzoub
Syria: Muhammad Suleiman
2010 - 2019
Iran: Masoud Alimohammadi, Danoush Razaeinejad, Gen. Hassan Moghaddam, Isam Batash, Mistafa Roshan
Syria: Hassan Shateri, Mwafiq Badiyen, Jihad Mughniyan, Mohamed Issa, Abu Reza, Mohammed Ali, Allah Dadi, Idmail Ashhab, Abu Hijaz, Hassan Al Hassn, Ghazi Ali, Ali Hussein, Samir Kuntar, Farhan Idsam, Mohammed Fahemi, Mir Ahmad, Azziz Asbar
Labanon: Hassan al Leqqis
Tunisia: Mohammed Zawari
Malaysia: Fadi Batsh
UAE: Mahmoud al Mabhouh
2020 - 2023
Iran: Abdullah Ahmed Abdullah, Mohsen Fakhrizaden, Hassan Khodaei
Syria: Ali Ramzi, Ali Okasha, Zaher Alaa
Jana 3 Jan 2024
Seven Hamas members killed in Israeli assassination: Haniyeh
Ismail Haniyeh has identified the Hamas members who were killed as Saleh al-Arouri, the deputy head of Hamas’s political bureau; Qassam Brigades commanders Samir Findi and Azzam al-Aqraa; and Hamas members Mahmoud Zaki Shahin, Mohammad Bashasha, Mohammad al-Rayes and Mohammad Hamoud.
Kwa uadui uliojengeka, na mashambulio ya kulipiza kisasi, sioni hata dalili kuwa Israel inaweza kuwa na mahusiano mazuri na waarabu wa Palestina. Bila shaka mashambulio ya makundi ya kigaidi dhidi ya Israel yatatokea tena kila baada ya muda fulani, halafu baada ya hapo Waarabu wa Palestine watajuta kwa maana kifo cha kila muisrael 1 kinalipwa kwa vifo zaidi ya 20 vya waarabu wa Palestine. Mpaka sasa, Waisrael takribani 1,200 waliuawa na magaidi wa Hamas; na vifo hivyo, mpaka sasa vimelipwa kwa vifo vya Wapalestina takribani 22,150, na vita inaendelea.
Leo hii ndugu, jamaa na familia zote ambazo wapendwa wao waliuliwa kinyama na magaidi wa HAMAS ile tarehe 7 October nchini Israel, watakuwa na uadui wa kudumu dhidi ya wapalestina kwa miaka mingi ijayo.
Na wale ndugu, watoto, na jamaa wa familia za Wapalestina ambao ndugu zao wameuawa na majeshi ya Israel katika vita ya kulipiza kisasi dhidi ya Hamas, watakuwa maadui wa kudumu wa Israel.
Hata hivyo, kumbukumbu zinaonesha ni Israel ambayo imewahi kufanya mauaji dhidi ya viongozi wa makundi adui zake, hata wakiwa kwenye mataifa makubwa, kwa mafanikio makubwa, kuliko Taifa lolote. Jambo ambalo linaishangaza Dunia nzima. Angalia msululu wa viongozi wa makundi adui waliouawa na Mosad nje ya Israel:
Mwaka 1956
Misri: Mustafa Hafez
Jordan: Salehe Mustafa
Mwaka 1962 - 1965
Germany: Heiz Kruig
Uruguay: Herberts Cukus
1972 - 1979
lebanon: Basdam Abu Sharif, Ghasam, Kanafan, Kamar Adwan, Mohammad Youssef, Kamar Nasser, Ali Hassan
Italy: Abdel Wael Zwaiter
France: Mahmoud Hamshari, Basil Al Kubaisi, Mohammad Boudia
Cyprus: Husein Al Bashir
Greece: Zaid Muchasi
Germany: Wade Haddad
1980 -1989
France: Yahia El Mashad
Brazil: Jose Alberto
Greece: Mamoun Meraish, Khalid Nazzal, Munther Abu
Tunisia: Abu Jihad
Misri: Said Bedair
1990-1999
Belgium: Gerald Bull
Lebanon: Abbas El Musawi
France: Atef Bseiso
Malta: Fathi Shaqaqi
2000 -2009
Lebanon: Mahmoud Majzoub
Syria: Muhammad Suleiman
2010 - 2019
Iran: Masoud Alimohammadi, Danoush Razaeinejad, Gen. Hassan Moghaddam, Isam Batash, Mistafa Roshan
Syria: Hassan Shateri, Mwafiq Badiyen, Jihad Mughniyan, Mohamed Issa, Abu Reza, Mohammed Ali, Allah Dadi, Idmail Ashhab, Abu Hijaz, Hassan Al Hassn, Ghazi Ali, Ali Hussein, Samir Kuntar, Farhan Idsam, Mohammed Fahemi, Mir Ahmad, Azziz Asbar
Labanon: Hassan al Leqqis
Tunisia: Mohammed Zawari
Malaysia: Fadi Batsh
UAE: Mahmoud al Mabhouh
2020 - 2023
Iran: Abdullah Ahmed Abdullah, Mohsen Fakhrizaden, Hassan Khodaei
Syria: Ali Ramzi, Ali Okasha, Zaher Alaa
Jana 3 Jan 2024
Seven Hamas members killed in Israeli assassination: Haniyeh
Ismail Haniyeh has identified the Hamas members who were killed as Saleh al-Arouri, the deputy head of Hamas’s political bureau; Qassam Brigades commanders Samir Findi and Azzam al-Aqraa; and Hamas members Mahmoud Zaki Shahin, Mohammad Bashasha, Mohammad al-Rayes and Mohammad Hamoud.
Kwa uadui uliojengeka, na mashambulio ya kulipiza kisasi, sioni hata dalili kuwa Israel inaweza kuwa na mahusiano mazuri na waarabu wa Palestina. Bila shaka mashambulio ya makundi ya kigaidi dhidi ya Israel yatatokea tena kila baada ya muda fulani, halafu baada ya hapo Waarabu wa Palestine watajuta kwa maana kifo cha kila muisrael 1 kinalipwa kwa vifo zaidi ya 20 vya waarabu wa Palestine. Mpaka sasa, Waisrael takribani 1,200 waliuawa na magaidi wa Hamas; na vifo hivyo, mpaka sasa vimelipwa kwa vifo vya Wapalestina takribani 22,150, na vita inaendelea.