Kumbuka uzi huu uliandikwa hata kabla hajashambuliwa , tulioteshwa na MunguWell, kuna red line not to be crossed...siku zote wanaovuka hiyo wanakutana na walioshika mpini hawatajali repercussions, he is lucky to be alive hata hivyo
Fact,tatizo ni kuwa tundulisu anajua ,anajiamimiani Hana tamaaNaomba hii iwe angalizo kwa wote wanaodhani wanaweza kumnyamazisha Tundu Lissu. Ukifuatilia tangu awamu ya 3 huyu mtu alikuwa mwiba halisi kwa kuanika ukweli kuhusu wachimbaji waliozikwa kibabe tena wakiwa hai kwenye mashimo ya madini huko kanda ya ziwa ili kupisha mwekezaji, Mh. Lyatonga Mrema na IGP Mahita wanalifahamu hili vizuri sana.
Pamoja na vitisho vyote Lissu hakuwahi kumpigia magoti mtu yeyote na mwisho wa siku ukweli ulikuja kubainika, Mungu aziweke mahali pema peponi roho za wahanga wale, Amina.
Awamu ya nne ya Mh Profesa Kikwete makali ya Lissu ya kusimamia ukweli wote mnayafahamu, kuna wakati Dk Kikwete alinukuliwa akisema " NI HERI DR SLAA AENDE IKULU KULIKO TUNDU LISSU AINGIE BUNGENI " Dr slaa hakwenda ikulu lakini Tundu Lissu aliingia bungeni kwa kishindo.
Huyu mtu hanyamazishwi na wanadamu, atanyamaza pale tu Mungu atakapomtwaa kwa hiyari yake lakini si kwa hila za wanadamu wenye mwili na nyama.
Hakika !Maneno yako yanaendelea Kuish
Ulipata mrejesho wa hiyo toba , au tukuletee clip ya alichosema hapo Chato ? Lissu akili kubwa sana.Ungana naye kwenye ziara ya kwenda kutubu CHATO
Swadakta .Fact,tatizo ni kuwa tundulisu anajua ,anajiamimiani Hana tamaa
Washashindwa .Acha wajaribu kupambana na huyu jamaa lakini kamwe hawatashinda. Lissu ni Heavy weight politician. Atazidi kuwaumbua kila uchao.
Anajiamini na anafanya kila jambo kwa mkakati..Lissu kweli kiboko.
..ana jezi ya katiba mpya mpaka Ivory Coast?
Wafungwa? Kwa nini wamefungwa? Siyo kwamba walivunja sheria? Hili gereza wamo waliohukumiwa kunyongwa, hawa ndiyo mashujaa wa Tundu?Uoga wako ndio umasikini wako, wale wafungwa kule ukonga ni watanzania wanaohitaji huduma za kisiasa , kwahiyo kama watakutana na shujaa lissu hiyo itakuwa bahati kubwa sana kwao.
Inaonekana umevuta ile ya NjombeWafungwa? Kwa nini wamefungwa? Siyo kwamba walivunja sheria? Hili gereza wamo waliohukumiwa kunyongwa, hawa ndiyo mashujaa wa Tundu?