Elections 2015 Tundu Lissu: Edward Lowassa ndiye mgombea urais wa CHADEMA na UKAWA

They don't call you "Learned Brother" for nothing! Thank you, my learned brother, Lissu!
 

huo ndiyo ukweli kwa mtu aliyo zunguka tanzania hii
 

Mkuu kwa kukumbusha tu kuhusu Iraq pia; Marekani anashirikiana na Iran kwa sasa kupambana na ISIS. Ni ajabu na kweli labda ndiyo ule usemi maarufu wa "Enemy of your Enemy is a Friend"!

Nilijiuliza maswali kama yako wakati wa uchaguzi uliopelekea kuondolewa KANU madakarani kwani akina Prof. Saitoti ambao walikuwa watuhumiwa wakuu katika kashifa ya Goldenberg walikaribishwa kwenye NARC but later i came to realise it was for the best though morally I still question the idea.

Lowassa may not be able to clinch the top sit coming October but his supporters might alter the ratio of ruling party MPs Vs opposition MPs, and to our nation, this will be a positive step. You are not alone in questioning CDM's decisions on this and i did too! If doing so will come with positive changes in our politics for the better nation then we will say the end justifies the mean as usual!

With that in mind i will give CDM and UKAWA the benefit of doubt for the time being!
 
Hata muuaji aliyekamatwa kwenye tukio kama alitumwa na mtu mwingine huyo ndiye atakuwa muuaji mkuu!
 
CCM wanajikanyaga sana ..yaani mwaka huu sijui kama kuna rangi wataacha kuona
 
Kwa technique hii chedema wasahau kishika Dora, wamesahau usemi usemao "mwendo kasi unaua" watakachokipata October hawato amini hii inadhiilisha kwamba tunasafari ndefu sana kuelekea kwenye mageuzi ya kweli.
 
Ni Lowasa.sasa nyie mnayemwona fisadi miaka yote mmemlinda sasa ndio mpaaze sauti? Mtakoma
 
Nilidhani huyu ana msimamo kumbe wale wale njaa yangu jazz band. . . . .
Msimamo ni upi? Kuwa mpinzani wa kudumu?
Hizi ni feelings za kimmu haziapply kwenye politics.

Tujifunze kwa Taifa kama Marekeni linavyoendesha mambo yake ni maslahi ya kudumu ndio yanaangaliwa.
 
Hivi kuna democracy kweli? How comes mtu anachukua form mnatangaza kwamba ndiye mgombea!? Tena sio kwa chama kimoja, bali kwa vyama vyote?
 
Mkuu umekuwa kimya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…