Lissu katika uborawake wa kukurupuka na kuropoka....
Mmemdhalilisha sana Dr Slaa amepambana na mafisadi hata kuweka maishayake hatarini..leo manasema mtu aliyemtaja kama fisadi anafaa zaidiyake...
Lowassa ataishia kuwa rais wa UKAWA
Lissu na Slaa ni wanasiasa wote wakiwakilisha CHADEMA,
Lissu na Slaa wako karibu katika utendaji wao wa kazi wa kila siku za chama chao.
Labda tungekuwa tumemsikia Slaa kalalamika maneno yako yangekuwa yana mashiko, mtu ambaye labda mwenye uwezo wa kusikia malalamiko ya Slaa ambayo wengine hatuwezi kusikia ni mchumba WAKE, je UMEMPINDUA? UMEKUWA MWANDANI WA SLAA? kama siyo kaa kimya kwanza umeanza lini kuitakia mema CHADEMA!!!