Tundu Lissu Awindwa

Tundu Lissu Awindwa

Mbona kichwa cha habari na utumbo wa habari ni vitu tofauti?

"Kwa mujibu wa taarifa niliyoipokea sasahivi kupitia Radio ya M/ kiti wa ccm Mwanza,Bwana Diallo kuwa,katika jimbo la Singida Mashariki uongozi wa ccm umemuagiza Mkuu wa wilaya,CAG na idara zinazohusika,wafanye ukaguzi katika mahesabu wa mfuko wa jimbo jinsi ulivyotumika."


Sojaona nukuu ya mbunge kutafutwa hapo. Kulikoni? au ndiyo kiwanda kazini?
 
Habari wana Jamvi

Kwa mujibu wa taarifa niliyoipokea sasahivi kupitia Radio ya M/ kiti wa ccm Mwanza,Bwana Diallo kuwa,katika jimbo la Singida Mashariki uongozi wa ccm umemuagiza Mkuu wa wilaya,CAG na idara zinazohusika,wafanye ukaguzi katika mahesabu wa mfuko wa jimbo jinsi ulivyotumika.

Hali hii imekuja baada ya Uongozi wa ccm ngazi ya Mkoa na Wilaya katika ziara yao kufanya ziara jimboni humo kukagua utekelezaji wa ilani ya ccm.wamegundua kuna miradi hewa ambayo imetumia fedha zaidi ya milioni 400.


My take
Hivi mfuko wa jimbo ,mwenye mamlaka ya kuchukua fedha benki kuzipangia matumizi,na kuzitumia ni Mbunge?

Je,mfuko huo unaelekeza fedha hizo zitumike kwenye miradi gani?

Hivi halmashauri hiyo,wakati ripoti ya CAG ya 2013/2014, ikiwasilishwa kwa Spika na kamati ya PAC,taarifa ya Jimbo la Singida Mashariki hakuwemo?

Kila Halmashauri ina mchumi wake,je kwenye kikao cha Madiwani vipaumbele vyao havigusi mfuko wa Jimbo.Wadau hebu tupime kauli ya Katibu wa ccm wa Singida!

Povu la nini acha tusubiri uchunguzi. Kama kuna mwizi lazima ashughulikiwe kama wezi wengine hatuangalii cheo au unatoka chama gani
 
Ukweli utawaweka huru jibu hoja wacheni kuwa vioja holo jimbo nikati yamajimbo yanayofanya vema sana kwenye nchi hii sasa mnataka kuleta vioja jibuni hoja

Hoja gani ambayo wewe unataka ijibiwe hapa? Wewe umeripoti kuwa Lissu anawindwa sasa kwenye maelezo mbona hakuna sehemu yoyote inayoonyesha kuwa huyo mbunge wako anawindwa....! Hayo mahesabu ya mfuko wa jimbo yakaguliwe ili tujue which is which, acha kutatarika wewe kama mkalingo sufuriani.
 
Hoja gani ambayo wewe unataka ijibiwe hapa? Wewe umeripoti kuwa Lissu anawindwa sasa kwenye maelezo mbona hakuna sehemu yoyote inayoonyesha kuwa huyo mbunge wako anawindwa....! Hayo mahesabu ya mfuko wa jimbo yakaguliwe ili tujue which is which, acha kutatarika wewe kama mkalingo sufuriani.

Ha ha ha aaaaa kuna maneno nikiyaona naweza sema historia ya mtu utotoni. . . . born again pagan unaujua mkalingo. . . . . umenichekesha sana
 
Last edited by a moderator:
hakuna hila kwa sasa haitoweza kubainika, ni ccm tu wasioelewa hiki kitu ndio maaana wanaendeleza hila kinachotakiwa kwa sasa ni kusema yaliyo ya kweli kama wafanyavyo viongozi wa chadema na diyo maana wanaaminiwa na wananchi walio wengi
 
Kujua na kutaja madhambi ya wengine hakukufanyi wewe mtakatifu. . . . .!!!!

Usitapetape kauli ya kutoa boriti kwenye jicho lako,hakunifanyi niache kuonya uzembe huu soma hapa" Ole wao wawekao amri zisizo za haki,na waandishi waandikao maneno ya ushupavu"

Ole wao wasemao kwamba uovu ni wema,na kwamba wema ni uovu ,watiao giza badala ya nuru,na nuru badala ya giza,watiao uchungu badala ya utamu,na utamu badala ya uchungu" Isaya 5;20,10:
Hata maandiko matakatifu yanawaonya,siasachafu hata Mungu hapendi Mwisho wao umefika!
 
Mbona kichwa cha habari na utumbo wa habari ni vitu tofauti?

"Kwa mujibu wa taarifa niliyoipokea sasahivi kupitia Radio ya M/ kiti wa ccm Mwanza,Bwana Diallo kuwa,katika jimbo la Singida Mashariki uongozi wa ccm umemuagiza Mkuu wa wilaya,CAG na idara zinazohusika,wafanye ukaguzi katika mahesabu wa mfuko wa jimbo jinsi ulivyotumika."


Sojaona nukuu ya mbunge kutafutwa hapo. Kulikoni? au ndiyo kiwanda kazini?


Soma vizuri wewe dogo,katibu wako kautangazia Umma kuwa anamashaka na matumizi ya mfuko wa jimbo,kwa nini mfuko wa jimbo tu?
Halmashauri zina mafungu mengi ya fedha,kuna Elimu, Tasaf,Afya,barabara,nk kwa nini hakuisema hii?
 
Soma vizuri wewe dogo,katibu wako kautangazia Umma kuwa anamashaka na matumizi ya mfuko wa jimbo,kwa nini mfuko wa jimbo tu?
Halmashauri zina mafungu mengi ya fedha,kuna Elimu, Tasaf,Afya,barabara,nk kwa nini hakuisema hii?

Kuwa na mashaka na mfuko wa jimbo ndiyo "Tundu Lissu anawindwa"?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Ni visasi tu hawana lolote wetu ukiona hivyo walitaka kiba wamekwama hawa wapigaji ni noumaaa.
 
Usitapetape kauli ya kutoa boriti kwenye jicho lako,hakunifanyi niache kuonya uzembe huu soma hapa" Ole wao wawekao amri zisizo za haki,na waandishi waandikao maneno ya ushupavu"

Ole wao wasemao kwamba uovu ni wema,na kwamba wema ni uovu ,watiao giza badala ya nuru,na nuru badala ya giza,watiao uchungu badala ya utamu,na utamu badala ya uchungu" Isaya 5;20,10:
Hata maandiko matakatifu yanawaonya,siasachafu hata Mungu hapendi Mwisho wao umefika!


Kwani kukaguliwa ni siasa chafu????!!!
 
Kuwa na mashaka na mfuko wa jimbo ndiyo "Tundu Lissu anawindwa"?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

Kama wewe ni miongoni mwa Think Tank dhaifu kiasi hiki ambaye huwezi kupitia na kusima katikati ya mistari, ni wazi kabisa
Kauli za kwamba kukiwa na serikali tatu jeshi litachukua nchi ni halali
Mnastahili kufungiwa jiwe shingoni,shule niliyonayo si ya porojo,I believe in good politics!
Jitambue
 
Ha ha ha aaaaa kuna maneno nikiyaona naweza sema historia ya mtu utotoni. . . . born again pagan unaujua mkalingo. . . . . umenichekesha sana

Mkuu Olesaidimu we acha tu, haya maisha haya sisi. Sisi wengine maisha tunayoishi sasa uki-compare na ya zamani ni tofauti kabisa yaani ni heaven with hell. Mkalingo nusu kilo maji lita 3 you call it a day sometimes. Asante sana shule
 
Last edited by a moderator:
Kwani kukaguliwa ni siasa chafu????!!!

Kaka fahamu kuwa unaposimama kujenga hoja,ujue na kukumbuka,CAG alikagua,ccm na kamati yao ya siasa wanafika kwenye jimbo, taarifa ya fedha hutolewa na Mchumi,mnakuja na hoja kuwa mfuko wa jimbo kuna miradi hewa?
Kuna Madiwani wa ccm, kuna M/ kiti wa halmashauri ambaye anawajibika kwenye kikao cha halmashauri kuwaomba madiwani wapitishe mapendekezo ya nini kipewe kipaumbele chini ya mfuko wa jimbo,je ccm hawakuwepo?

Haitoshi CAG anapokuwa na timu yake hukagua,kisha hukaa ns Madiwani, M/ kiti wa hslmashauri na wakuu wa Idara na kuwahoji kifungu kwa kifungu kwa nini fedha zimetumika kinyume na mapendekezo,madiwani hawakuwepo?
Andaeni propaganda mpya, meisho wa mambo yote umekaribia,tafute kazi zingine dio uongo
 
Nuru ikitishwa na giza nayo sio nuru tena, Lissu atishwe na wezi ni kama kumtukana hakimu akiwa mahakamani, jelaaa fasta
 
Mbona kichwa cha habari na utumbo wa habari ni vitu tofauti?

"Kwa mujibu wa taarifa niliyoipokea sasahivi kupitia Radio ya M/ kiti wa ccm Mwanza,Bwana Diallo kuwa,katika jimbo la Singida Mashariki uongozi wa ccm umemuagiza Mkuu wa wilaya,CAG na idara zinazohusika,wafanye ukaguzi katika mahesabu wa mfuko wa jimbo jinsi ulivyotumika."


Sojaona nukuu ya mbunge kutafutwa hapo. Kulikoni? au ndiyo kiwanda kazini?

Jibu hoja
 
Sijaona tatizo, ila shida ni kwa nini ukaguzi usifanyike wa mifuko ya wabunge wote?
 
Wapuuzi hao . Hawa jamaa. Ni wakurupukaji asikwambie mtu. Mh. Lissu achana na wajinga Hawa usirudi nyuma daima songa mbele. Omotollah zzk yupo nyuma yao pia
 
Kikwete wakati wa kampeni alisema "ni heri akose urais kuliko Kamanda Tundu Lissu aingie bungeni" sasa hawa vibaraka wapuuzi na wachumia tumo wataweza kupambana na mwanasheria msomi na mfia nchi?Sina wasiwasi na hilo kwa sababu manyang'au ccm alwayz yanakurupuka tu.
 
Da! tittle kaka imenirusha rohokweli kumbe ningepita wimatu
 
Back
Top Bottom