FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Mbona kichwa cha habari na utumbo wa habari ni vitu tofauti?
"Kwa mujibu wa taarifa niliyoipokea sasahivi kupitia Radio ya M/ kiti wa ccm Mwanza,Bwana Diallo kuwa,katika jimbo la Singida Mashariki uongozi wa ccm umemuagiza Mkuu wa wilaya,CAG na idara zinazohusika,wafanye ukaguzi katika mahesabu wa mfuko wa jimbo jinsi ulivyotumika."
Sojaona nukuu ya mbunge kutafutwa hapo. Kulikoni? au ndiyo kiwanda kazini?
"Kwa mujibu wa taarifa niliyoipokea sasahivi kupitia Radio ya M/ kiti wa ccm Mwanza,Bwana Diallo kuwa,katika jimbo la Singida Mashariki uongozi wa ccm umemuagiza Mkuu wa wilaya,CAG na idara zinazohusika,wafanye ukaguzi katika mahesabu wa mfuko wa jimbo jinsi ulivyotumika."
Sojaona nukuu ya mbunge kutafutwa hapo. Kulikoni? au ndiyo kiwanda kazini?