Da! tittle kaka imenirusha rohokweli kumbe ningepita wimatu
Weka motochini upime uwezo wa Think Tank ya Singida Mashariki,imeshindwa kuwashawishi shemeji zangu,kwenye Serikali za mitaa, inarusha mateke ishara ya kukata roho,subirini udiwani atawasafisha kabisa bora muanze kufanya mwafaka mapema!