Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,872
Habari wana Jamvi
Kwa mujibu wa taarifa niliyoipokea sasahivi kupitia Radio ya M/ kiti wa ccm Mwanza,Bwana Diallo kuwa,katika jimbo la Singida Mashariki uongozi wa ccm umemuagiza Mkuu wa wilaya,CAG na idara zinazohusika,wafanye ukaguzi katika mahesabu wa mfuko wa jimbo jinsi ulivyotumika.
Hali hii imekuja baada ya Uongozi wa ccm ngazi ya Mkoa na Wilaya katika ziara yao kufanya ziara jimboni humo kukagua utekelezaji wa ilani ya ccm.wamegundua kuna miradi hewa ambayo imetumia fedha zaidi ya milioni 400.
My take
Hivi mfuko wa jimbo ,mwenye mamlaka ya kuchukua fedha benki kuzipangia matumizi,na kuzitumia ni Mbunge?
Je,mfuko huo unaelekeza fedha hizo zitumike kwenye miradi gani?
Hivi halmashauri hiyo,wakati ripoti ya CAG ya 2013/2014, ikiwasilishwa kwa Spika na kamati ya PAC,taarifa ya Jimbo la Singida Mashariki hakuwemo?
Kila Halmashauri ina mchumi wake,je kwenye kikao cha Madiwani vipaumbele vyao havigusi mfuko wa Jimbo.Wadau hebu tupime kauli ya Katibu wa ccm wa Singida!
Kwa mujibu wa taarifa niliyoipokea sasahivi kupitia Radio ya M/ kiti wa ccm Mwanza,Bwana Diallo kuwa,katika jimbo la Singida Mashariki uongozi wa ccm umemuagiza Mkuu wa wilaya,CAG na idara zinazohusika,wafanye ukaguzi katika mahesabu wa mfuko wa jimbo jinsi ulivyotumika.
Hali hii imekuja baada ya Uongozi wa ccm ngazi ya Mkoa na Wilaya katika ziara yao kufanya ziara jimboni humo kukagua utekelezaji wa ilani ya ccm.wamegundua kuna miradi hewa ambayo imetumia fedha zaidi ya milioni 400.
My take
Hivi mfuko wa jimbo ,mwenye mamlaka ya kuchukua fedha benki kuzipangia matumizi,na kuzitumia ni Mbunge?
Je,mfuko huo unaelekeza fedha hizo zitumike kwenye miradi gani?
Hivi halmashauri hiyo,wakati ripoti ya CAG ya 2013/2014, ikiwasilishwa kwa Spika na kamati ya PAC,taarifa ya Jimbo la Singida Mashariki hakuwemo?
Kila Halmashauri ina mchumi wake,je kwenye kikao cha Madiwani vipaumbele vyao havigusi mfuko wa Jimbo.Wadau hebu tupime kauli ya Katibu wa ccm wa Singida!