COMPLICATOR2011
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 253
- 35
Tundu lisu yuko anasoma hotuba ya kambi ya upinzani wizara ya sheria na katiba, ameshasema mahakama zetu hazina uhuru, rais ana mamlaka makubwa pengine hata juu ya mahakama. Tuendelee kujuzazana hapa.