Tundu Lissu angesaidia??? You are not serious. Anayesema nchi iwekewe vikwazo ili iyumbe kiuchumi ndio atasaidia nchi ipate pesa yake ili iimarike kiuchumi?Ikifika wakati tukaweza kutofautisha itikadi zetu na maslahi ya Taifa basi tutakuwa tumepiga hatua kubwa.
Mazungumzo kati ya Kampuni ya madini Acacia na Serikali huenda yangezaa matunda mazuri kama serikali ya ccm ingekuwa tiyari kuwatumia wanasheria waliobobea kama kina Lisu na wengine bila kujali uchama.
Tuweke maslahi ya Taifa letu mbele.
Tundu yupi unayemuongelea hapaIkifika wakati tukaweza kutofautisha itikadi zetu na maslahi ya Taifa basi tutakuwa tumepiga hatua kubwa.
Mazungumzo kati ya Kampuni ya madini Acacia na Serikali huenda yangezaa matunda mazuri kama serikali ya ccm ingekuwa tiyari kuwatumia wanasheria waliobobea kama kina Lisu na wengine bila kujali uchama.
Tuweke maslahi ya Taifa letu mbele.
AISEE WEWE UNAWAZA KWA KUTUMIA MATAKO MIKATABA WASAINI WENGINE NA KUHONGWA AHONGWE LISU ???Aisaidie vp wakati walimpiga hela ili a blackmail issue hiyo? Mnafiki huyo. Ukiona torch inawaka tambua kuna betrii ndani yake. Shame on him. He is so nugatory and hypocrite.
Sent using Jamii Forums mobile app
UNATAKA MISAADA WAKATI TUNAJIANDAA KUUZA MITUMBA ULAYA ?? TUMIA AKILI KUFIKIRITundu yupi unayemuongelea hapa
Au mie mgeni hapa ???
Unamzungumzia Tundu huyu aliyetoa tamko la kuwahamasisha wadau wetu wa maendeleo wasilete misaada nchini kwetu ?
Tundu huyu ambaye amekuwa kinara wa lawama dhidi ya hatua tulizochukua kwa mwekezaji huyu wa makinikia ?
Tundu huyu anayepinga kila jambo ali mradi tu limesemwa na walioko kwenye madaraka ?
Tundu huyu asiye na staha dhidi ya mamlaka zilizopo
Naomba kumfahamu Tundu unayemuongelea vinginevyo mod futa huu uzi
Yeye hakuwa na mawazo ya kufanya mazungumzo. Yeye alitaka aka'practice' taaluma yake ya sheria huko 'MIGA cortrooms'. Hivyo hasingetufaa kwenye hili.Ikifika wakati tukaweza kutofautisha itikadi zetu na maslahi ya Taifa basi tutakuwa tumepiga hatua kubwa.
Mazungumzo kati ya Kampuni ya madini Acacia na Serikali huenda yangezaa matunda mazuri kama serikali ya ccm ingekuwa tiyari kuwatumia wanasheria waliobobea kama kina Lisu na wengine bila kujali uchama.
Tuweke maslahi ya Taifa letu mbele.
kama unamawazo haya ungeanza na hao chadema kuwaambia wasipingi juhudi hizo wangeshirikiana tangu mwanzo so unafiki hauhitajiki mkuu,,, muache abaki na elimu yake wapo wengne watakaopambana kwa faida ya taifa,, muache lisu apambane na hali yake ya faida ya tumboooIkifika wakati tukaweza kutofautisha itikadi zetu na maslahi ya Taifa basi tutakuwa tumepiga hatua kubwa.
Mazungumzo kati ya Kampuni ya madini Acacia na Serikali huenda yangezaa matunda mazuri kama serikali ya ccm ingekuwa tiyari kuwatumia wanasheria waliobobea kama kina Lisu na wengine bila kujali uchama.
Tuweke maslahi ya Taifa letu mbele.
.Ikifika wakati tukaweza kutofautisha itikadi zetu na maslahi ya Taifa basi tutakuwa tumepiga hatua kubwa.
Mazungumzo kati ya Kampuni ya madini Acacia na Serikali huenda yangezaa matunda mazuri kama serikali ya ccm ingekuwa tiyari kuwatumia wanasheria waliobobea kama kina Lisu na wengine bila kujali uchama.
Tuweke maslahi ya Taifa letu mbele.
Hatumuhitaji yeye asubiri tushtakiwe kibaraka wa wazungu yuleIkifika wakati tukaweza kutofautisha itikadi zetu na maslahi ya Taifa basi tutakuwa tumepiga hatua kubwa.
Mazungumzo kati ya Kampuni ya madini Acacia na Serikali huenda yangezaa matunda mazuri kama serikali ya ccm ingekuwa tiyari kuwatumia wanasheria waliobobea kama kina Lisu na wengine bila kujali uchama.
Tuweke maslahi ya Taifa letu mbele.
Ww unaumwa naona nenda.kapimwe huyu lisu kahongwa na accaia then unatuambia vitu vya ajabu pole yako ww na lisu wako.sie tunasuburia noahIkifika wakati tukaweza kutofautisha itikadi zetu na maslahi ya Taifa basi tutakuwa tumepiga hatua kubwa.
Mazungumzo kati ya Kampuni ya madini Acacia na Serikali huenda yangezaa matunda mazuri kama serikali ya ccm ingekuwa tiyari kuwatumia wanasheria waliobobea kama kina Lisu na wengine bila kujali uchama.
Tuweke maslahi ya Taifa letu mbele.
Ww unaumwa naona nenda.kapimwe huyu lisu kahongwa na accaia then unatuambia vitu vya ajabu pole yako ww na lisu wako.sie tunasuburia noah
Sent using Jamii Forums mobile app
Povu la nini sasa na wewe mkuu? Hebu tuambie Lisu kahongwa kiasi ganiWw unaumwa naona nenda.kapimwe huyu lisu kahongwa na accaia then unatuambia vitu vya ajabu pole yako ww na lisu wako.sie tunasuburia noah
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmoja wapo wa wadau tu mkuu.Humuhitaji wewe kama nani mkuu
Mwwnye kuitakia Tanzania kila la kheri chini ya jemedari Wetu mh RaisKatika lipi haswa
Msaliti.mwambie na yeye akakamate makinikia kama anaweza si ni Rais eti?Humuhitaji wewe kama nani mkuu