Genekai
R I P
- Feb 9, 2010
- 12,517
- 4,987
Linalowasumbua Watz wengi ni kukosa unyenyekevu wa kukubali uwezo wa mtu, Lissu amezipigania raslimali za nchi hiyo tangu miaka ya nyuma tena akiwa bado CCM na baadae NCCR Mageuzi. Ameandika mengi toka 1996 bulyanhulu wanafukuza wasukuma chini ya amri ya Kiwelu na wenzake. Ameshughulika na kesi nyingi za kuwasaidia raia waliokuwa wakinyanyaswa aliwa na LEAT. Leo hii anawapa ushauri namna ya kutoka salama katika hili, hawa vijana wa Lumumba waliozoea ushindi wa mezani na ambao wameianza siasa juzi tu tena wakati wa kampeni za kuteua mgombea wa urais kupitia CCM 2015 wanakesha wakitukana mitandaoni tu.
Hawajui kuwa haya matakataka ya mikataba yameletwa na ha hao hao baba zao ambao kwasasa wanawaita "wazalendo". All in all, Maneno ya Albert Einstein bado yamesimama "matatizo hayawezi kutatuliwa na akili ileile iliyoyatengeneza"
Hawajui kuwa haya matakataka ya mikataba yameletwa na ha hao hao baba zao ambao kwasasa wanawaita "wazalendo". All in all, Maneno ya Albert Einstein bado yamesimama "matatizo hayawezi kutatuliwa na akili ileile iliyoyatengeneza"