Tundu Lissu: Anayelishwa na kodi zetu ndio anasema Tanzania hakuna njaa

Kweli siasa ni mchezo mchafu zaidi ya mchezo wowote Duniani. Na hasa ukikuta wananchi wa nchi ya watu wasiyo na kumbukumbu kama tz ndiyo basi tena.

Wakati wa utawala wa kikwete huyu huyu tundu Lisu alikuwa kila akihojiwa kuhusu serikali alikuwa akisema serikali ni legelege na kwamba nchi ilipofikia inatakiwa ipate kiongozi Dikteta. Na kwamba serikali haina meno.

Sasa hivi tena huyo huyo tundu ndiyo analalamika serikali ni kandamiizi. Kweli hii ndiyo Tanzania. Mtu anakula matapishi yake watanzania tunashangilia.

Na huyu huyu tundu aliwahi kusema jpm anafuata sera za chama chao cha cdm katika uongozi wake awali wakati anaanza kutumbua majipu. Wana wa nchi tufuate lipi hasa!!!
sasa ya huyu ni kakamavu mbon ni legelege kuliko hata ya JK serikali haijastabilise baada ya miezi kumi na sita unaita serikali au makirikiri
 
Mh. Majaliwa naona anajaribu kuelezea vizuri hali ya chakula nchini baada ya ''mbinyo toka wadau'' wengine wanavyoona hali ya chakula Tanzania. Tumsikilize vizuri na kuweka kumbukumbu hii kwa miezi sita ijayo. Ndiyo umuhimu wa wananchi kuwa na sehemu ya kutoa mawazo mbadala ili kuitingisha serikali iamke na kujitahidi kuja na data za kutosha na mikakati ya kuboresha ukulima wa kisasa na matumizi bora ya taarifa za hali ya hewa na mito ya maji na maziwa kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji.

Kelele za njaa nchini, Waziri Mkuu atoa tamko

Source: Shule

 
Chadema tokea wamsafishe fisadi Lowasa hawatakuja kuaminika tena mbele ya macho ya watanzania.

Watabaki kushabikiwa na malofa tu.
 
HAHAHA kWELI leo nimeamini Lissu ni chizi.... hivi yeye analishwa na kodi za kina nani?
 
  • Thanks
Reactions: jmi
Zile tuhuma za kushiriki kukiuza Chama kwa Nyeupe hadi leo hajakanusha. Tumwamini yeye ni nani? Mchumia tumbo mkubwa huyu, kama wanasiasa ni wanafiki huyu ndo babu wa unafiki. Hachelewi kuyatakasa matapishi yake na kuyala huyu! Hivi leo Tundu Lisu amekuwa ni mtu wa kumsifia Kikwete? Naanza kupata shaka labda tunao vichaa wanaoaminiwa.
 
Wewe sijui hata kama unajitambua. Nimekujibu kukuasa karibu kujirudishia akili zako.
Utaishia kujijibu mwenyewe. Mpaka kuyaona hayo maneno ni msamiati mpya ilikuwa ukiishi wapi usiweze kiyasikia na kuyatumia kabla?
 
Wewe sijui hata kama unajitambua. Nimekujibu kukuasa karibu kujirudishia akili zako.
Utaishia kujijibu mwenyewe. Mpaka kuyaona hayo maneno ni msamiati mpya ilikuwa ukiishi wapi usiweze kiyasikia na kuyatumia kabla?

Punguza hasira zombi
 
Ukweli lazima usemwe. Siku hadi siku Tundu Lissu ameendelea kujipambanua miongoni mwa wanasiasa kwa kutoa mchango mkubwa katika siasa za Tanzania. Zaidi ya mchango wake katika jamii, bungeni na katika chama chake, Lissu amechangia kwa kiwango kikubwa msamiati wa siasa katika nchi yetu. Baadhi ya msamiati ambao Lissu amechangia ni pamoja na dhana ya dikteta uchwara (Proto-fascism) na mfungwa wa kisiasa (political prisoner). Kwa msaada wa taarifa katika ulmwengu huu wa utanzawazi, dikteta uchwara inamaanisha kuwa ni utawala unaoelekea kuwa wa kidkiteta. Watawala wanaoitwa ma-Fascist ni wale ambao hupenda kutoa miongozo kandamizi na ya kikatili kwa wananchi wake.

Hivi karibuni, Lissu ametoa msamiati mwingine: Mfungwa wa Kisiasa (A political prisoner). A political prisoner is someone imprisoned because of opposing or criticizing the ideas and actions of the government. Political prisoner is one who is imprisoned for his or her participation in political activity. Zaidi ya msamiati huu, pia Mh. Lissu pia ameanza kutumia msamiati wa "Mtakatifu" katika siasa za Tanzania. Si vema to take for granted mchango wa Mheshimiwa huyu katika siasa za Tanzania. Mchango wake na utambulike sasa na watu wote.
Chadema tokea wamsafishe fisadi Lowasa hawatakuja kuaminika tena mbele ya macho ya watanzania.


Watabaki kushabikiwa na malofa tu.
 
Chadema tokea wamsafishe fisadi Lowasa hawatakuja kuaminika tena mbele ya macho ya watanzania.


Watabaki kushabikiwa na malofa tu.
Ccm ndio mlianza kumsafisha.
86ac42f12ef2e97fb9e3e08621629202.jpg
 
Ofisi zote za ccm zilijengwa na watanzania enzi ya chama kimoja.Kujidanganya kuwa ccm ina ofic ni kutudhihirishia kuwa wewe umezaliwa miaka ya 89,kukusaidia kaa na wazee ujuzwe na uongezewe maarifa.

Ccm vitu vyote wanavyotumia walipora kutoka kwa umma.Hii imepelekea kuwa na woga wa kuachia madaraka.

Usichangie usilolijua kaa kimya.
Nasasa watanzania hakuna tena,sisi tutapataje kujenga ofisi.masimango tu!
 
anaeongolea mafisadi,aende akamuulize mwakyembe na mahakama yake ya mafisadi,je mafisadi wapo au hawapo??mwakyembe atampatia majibu sahihi..
Mtakwepa sana matone ya mvua. Lakini kamwe huweze kukwepa matone mvua.

Kauli ya Lowasa fisadi waanzilishi ni nyinyi na mkafikia kumwita fisadi papa hapo mwembe yanga.
 
hivi kwan yy tundu lisu kwani si anakula kwa kodi zetu au!mbunge anapata msharaha mkubwa,posho kibao,mafuta nk!,kweli mkuu kusema hakuna njaa kakosea ila na LISU nae alitakiwa aangalie point ya kuangalia kumshambulia maana ishu ya kodi mbma lema tunamlipa mshahara kwa kodi zetu afu yupo ndani!
Kwani Tundu Lisu ametangaza hakuna njaa?
 
Back
Top Bottom