GE2025 Tundu Lissu anaandika historia mpya ya Tanzania hasusani Tanganyika

GE2025 Tundu Lissu anaandika historia mpya ya Tanzania hasusani Tanganyika

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Lord Denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
23,494
Reaction score
57,869
20250814_154410.jpg

Kuanzia sisi tuliojaariwa uhai na mwenyezi Mungu sasa hadi vizazi vyote vinavyokuja vya Tanzania na hasa Tanganyika historia ya Nchi yetu hatutaisimulia kwa kuwaeleza kina Mkwawa au Nyerere kama mashujaa wa hili Taifa.

Kuanzia sasa historia ya nchi yetu hasa kwenye mapambano ya haki sawa kwa wote, utawala bora na matumizi sahihi ya rasilimali za Taifa kwa faida ya Watanzania wote jina TUNDU ANTIPASS LISSU litasomwa katika historia yote ya Tanzania na Tanganyika hadi mwisho wa hii Dunia.

Kuanzia sasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA) kitasomwa na kutajwa na Watanzania kama alama kuu ya mapambano ya kweli ya Haki, Utawala Bora na Kuwatetea kweli Wananchi dhidi ya Udhalimu.

Namshukuru Mungu kuweza kuishi nyakati hizi. Mungu anipe Uhai ipo siku vitukuu vyangu vitaniuliza kuhusu huyu Lissu na hawa Chadema na Insha Allah nitakuwa sehemu ya kuwaelezea namna hawa watu walivyoandika upya Historia la Taifa letu.

Mungu mbariki Tundu Antipass Lissu

Mungu wabariki Chadema✊️✌️
 
Watanzania wengi ni wajinga sana.
 
Watanzania walitakiwa kushituliwa sio kwenye ubongo kupigwa dole la nyuma tu ili wazinduke
 

Kuanzia sisi tuliojaariwa uhai na mwenyezi Mungu sasa hadi vizazi vyote vinavyokuja vya Tanzania na hasa Tanganyika historia ya Nchi yetu hatutaisimulia kwa kuwaeleza kina Mkwawa au Nyerere kama mashujaa wa hili Taifa.

Kuanzia sasa historia ya nchi yetu hasa kwenye mapambano ya haki sawa kwa wote, utawala bora na matumizi sahihi ya rasilimali za Taifa kwa faida ya Watanzania wote jina TUNDU ANTIPASS LISSU litasomwa katika historia yote ya Tanzania na Tanganyika hadi mwisho wa hii Dunia.

Kuanzia sasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA) kitasomwa na kutajwa na Watanzania kama alama kuu ya mapambano ya kweli ya Haki, Utawala Bora na Kuwatetea kweli Wananchi dhidi ya Udhalimu.

Namshukuru Mungu kuweza kuishi nyakati hizi. Mungu anipe Uhai ipo siku vitukuu vyangu vitaniuliza kuhusu huyu Lissu na hawa Chadema na Insha Allah nitakuwa sehemu ya kuwaelezea namna hawa watu walivyoandika upya Historia la Taifa letu.

Mungu mbariki Tundu Antipass Lissu

Mungu wabariki Chadema✊️✌️
Umeandika vizuri kiasi...
Lakini chukuwa tahadhali, vinginevyo utaanza kuwa Lucas mwingine.. Ukiandika kwa kutumia lugha inayopitiliza (outlandish), watu wataiona tu, hata kama hawapingani na wewe.
 
Umeandika vizuri kiasi...
Lakini chukuwa tahadhali, vinginevyo utaanza kuwa Lucas mwingine.. Ukiandika kwa kutumia lugha inayopitiliza (outlandish), watu wataiona tu, hata kama hawapingani na wewe.
Sijawahi kuwa chawa kama huyo mpumbavu.

Rekodi yangu inanilinda hapa JF
 
Back
Top Bottom