yasn gahoile
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 423
- 110
ukitoa aslimia za vyama vingine lowasa alipata 10% chukua vyama 4 ugawe kwa 40% uzidishe 100 utapata asilimia za lowasa wakat slaa alipata 27%Lissu hajui hesabu,mwaka 2015 vyama vinne vimemwombea kura Lowasa,wakati 2010 chadema ilipambana yenyewe....mwaka 2010 Slaa alipata asilimia 27 na Lipumba alipata 11 ukijumlisha unapata asilimia 38..Lowasa kapata asilimia 39 kura za vyama vya NLD,NCCR,CUF na Chadema kwahivyo kiuwiano wa asilimia hakuna tofauti ya maana.