Tundu Lissu amjibu Fred Mpendazoe

Tundu Lissu amjibu Fred Mpendazoe

Namheshimu sana Tundu Lissu, ila wakati mwingine huwa anaamua kutoa majibu rahisi kuwafurahisha wakubwa zake.

Anaongelea kura za uchaguzi mkuu anasahau unasahau kuwa hizo kura zimetokea kwenye uchaguzi serikali za mitaa ambako ndio msingi mkuu.

Eti nini!?....Umesemaje hapa? Kura za Edward Lowassa milioni sita na ushee sawa na takribani 40% ya kura zote zimetoka ktk uchaguzi wa serikali za mitaa?

Hebu fafanua au tueleze umekula maharage ya wapi leo mpaka unawaza hivi?
 
Hizo kura 6m ni za vyama karibia Vinne ,et slaa yeye aloweka msingi na ndo lowasa aliotembelea
Point kubwa sana hii. Akitaka kujua aunganishe kura za cuf nccr na cdm za mwaka 2010 siyo hivyo tu lowasa kanadiwa pia na seif sharif halafu watu wanamshabikia Lisu bila kufanya utafiti wao
 
Point kubwa sana hii. Akitaka kujua aunganishe kura za cuf nccr na cdm za mwaka 2010 siyo hivyo tu lowasa kanadiwa pia na seif sharif halafu watu wanamshabikia Lisu bila kufanya utafiti wao
Escrow nayo ilichangia sana CCM kuchukiwa na wananchi baada ya mkwere kuitetea IPTL
nakumbuka kuna siku KAFULILA anahojiwa kwenye kipindi cha 45 min na buhohela akasema kwa sasa CCM haina pa kutokea sio msikitin sio kanisani na akasema isipotoka mwaka huu haitakaa itokee tena madaraka ,
 
Tundu Lissu ni mtu makini lakini anazidi kuonesha umakini wake unaishia wapi ....hapo hajajibu bali kapiga siasa ....kapiga propaganda ....kwanza ENL kakuta chama tayari kina mtaji mkubwa ndio maana hakwenda ACT wala NCCR ....pili uchaguzi uliopita kama Lipumba angesimama CUF hizo kura zisingefika na mchuano upande wa CDM bila Dr Slaa ungekuwa mgumu zaidi .....nguvu ya UKAWA na Chadema iliyokuwa imeandaliwa vyema ikiwemo kupandikiza chuki kiasi cha kutosha dhidi ya CCM ilisaidia sana .....ENL aliongeza fedha zilizosaidia kampeni linganifu na CCM lakini si sababu ya kukubalika kwake .....Tundu Lissu amejijengea sifa za kizalendo ....azilinde asiyumbishwe na chuki dhidi ya akina Dr Slaa , Zitto na wengine waliokataa imla za Mbowe ....
hahahaha. ..mfuasi wa Dr kibwetere
 
Eti Magufuli kamchagua Change, hii inaonyesha wazima jinsi gani CHADEMA wamechanganikiwa.
Lissu ni bora atulie tu, arudi zake singida hata Division zero Mbowe amemuona hafai kuwa katibu mkuu kwa sababu ni mkurupukaji na anaongozwa na mihemko.
 
Eti Magufuli kamchagua Change, hii inaonyesha wazima jinsi gani CHADEMA wamechanganikiwa.
Lissu ni bora atulie tu, arudi zake singida hata Division zero Mbowe amemuona hafai kuwa katibu mkuu kwa sababu ni mkurupukaji na anaongozwa na mihemko.
Magufuli ndie alieshinikiza jina la chenge lipite, unakataa nini halafu mnasema ccm hakuna ukanda, mtawaambia wajinga tu, hata Tulia akson ni juhudi za magufuli, anajua akipanga safu yake ndio atasikilizwa, wewe kalia kijiti ukisema chenge kachaguliwa na bunge.
 
Magufuli ndie alieshinikiza jina la chenge lipite, unakataa nini halafu mnasema ccm hakuna ukanda, mtawaambia wajinga tu, hata Tulia akson ni juhudi za magufuli, anajua akipanga safu yake ndio atasikilizwa, wewe kalia kijiti ukisema chenge kachaguliwa na bunge.
acha uongo magufuli kwenye kampen zake hakumnadi chenge wala ANNA TB iweje ashinikize kuchaguliwa
 
Namheshimu sana Tundu Lissu, ila wakati mwingine huwa anaamua kutoa majibu rahisi kuwafurahisha wakubwa zake.

Anaongelea kura za uchaguzi mkuu anasahau unasahau kuwa hizo kura zimetokea kwenye uchaguzi serikali za mitaa ambako ndio msingi mkuu.
Sasa Ww Na Mh. LISSU, Ni Yupi Anayesema Kwa Maelezo Mepesi Na Yasioeleweka, Ili Kuwafurahisha Wakubwa Zake!!?? Maana Hakuna Kinachoeleweka Hata Kimoja!!!
 
Mara nyingi wakili bila kujua kutunga na kusema uongo huwezi kuaminika na kuheshimika. Fikiria mtu anaua mbele ya macho ya wakili lakini bado wakili huyo anasimama kumtetea muuaji huyo mahakamani kwamba hakuua. Ndiyo sifa ya mawakili wote duniani akiwemo Lissu.
Lissu ndani ya nafsi yake anajua kabisa Lowassa ni fisadi la kutupwa lakini bila aibu amekuwa akiwaaminisha watanzania kwamba Lowassa ni mtu safi anayeweza hata kuwa kiongozi wa nchi.

Lissu anajua pia kwamba anachokisema Mpendazoe ndiyo ukweli wanaoujua wanachadema wengi wa Chadema lakini kwa kiburu yeye anaupinga ukweli huo.

Habari ya Chadema kupata kura milioni 6 ni mpango mkakati na nguvu iliyojengwa na Dk Slaa mashinani baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010. Pia muungano wa vyama katika Ukawa uliuinua sana umoja huo na kuupa kura hizo.

Bado wengi tunaamini kwamba kwa namna CCM na serikali yake ilivyokuwa imechukiwa na watanzania kutokana na kashfa ya Escrow na uchakuaji wa katiba ya wananchi hata bila Ukawa kumpapatikia Lowassa, chini ya Dk Slaa Ukawa wangezoa kura nyingi sana za watanzania na ingeweza kuiangusha CCM.

Lazima tukubali kwamba kupokelewa kwa Lowassa ndani ya Chadema na ugoi goi aliouonyesha mgombea urais huyo wa Ukawa kwenye mikutano ya kampeni kuliipunguzia sana umaarufu Ukawa.

Naamini pia kwamba Lowassa, Chadema na Mbowe wake wamechukiwa sana baada ya uchaguzi wa 25 Oktoba 15 na tusubiri 2020 Ukawa chini ya Lowassa kama itapata hata nusu ya hizo kura 6m. Kwanza ni maajabu mpaka sasa CDM kuendelea kupumua na ndiyo maana Mpendazoe kaizibukia.
 
Escrow nayo ilichangia sana CCM kuchukiwa na wananchi baada ya mkwere kuitetea IPTL
nakumbuka kuna siku KAFULILA anahojiwa kwenye kipindi cha 45 min na buhohela akasema kwa sasa CCM haina pa kutokea sio msikitin sio kanisani na akasema isipotoka mwaka huu haitakaa itokee tena madaraka
 
Ameenda kuishi ugaibuni kwa sababu anaogopa mkono wa mamvi na machaga dema wangemkili maana kawaumbuwa kwa sababu waliitakia mabaya hii nchi
 
Namheshimu sana Tundu Lissu, ila wakati mwingine huwa anaamua kutoa majibu rahisi kuwafurahisha wakubwa zake.

Anaongelea kura za uchaguzi mkuu anasahau unasahau kuwa hizo kura zimetokea kwenye uchaguzi serikali za mitaa ambako ndio msingi mkuu.
Naona bado unaogelea kwenye dimbwi la pumba
 
MPENDAZOE ni MPENDA ZOTE, huyu jamaa ni moja kati ya wanasiasa wa hovyo sana.

Hodari wa kuama vyama na mtu mwenye hoja nyepesi nyepesi.
 
Maskini Tundu Lissu.
Hata kama mna ajenda ya ufisadi, HAMUUZIKI KWA WATANZANIA WENGI WENYE AKILI, hamsomeki! Nani atawaamini kuwa mtachosema ni kweli na mna maanisha??
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh, naona wewe ni moja ya wagonjwa waliotoroka kutoka mirembe, hujui kuwa Tundu Lissu ni mbunge?
 
Back
Top Bottom