kashata
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 530
- 537
mkuu tume huru ipo ndani ya rasimu ya katiba moya ya wariobaHivi Lissu sio wewe unayeshinda case mahakamani dhidi ya jamhuri kila leo? Huo sio uhuru unao ulilia?
Mbona hujasema mtazamo wako juu ya neno tume huru ya uchaguzi na maamuzi ya mahakama juu ya dosari na makosa ya IBEC ya kenya?