sikongefdc
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,612
- 2,146
Kwa Lissu shetani kashindwa na hiyo ndiyo sababu ya mateso haya mnayoyapitia, mashetani wakubwa. Mliyoyapanga gizani Mungu kayapangua na ndio sababu mnapayuka hovyo.
Binafsi nimeumia na kujisikia vibaya sana kitendo cha serikali wanachomfanyia Tundu lissu cha kusitisha malipo na mshahara wake.
Mh. Tundu lissu ameingia katika wakati mgumu sana na inasikitisha akiomba sehemu ya kula , kulala na ada kwa ajiri ya watoto wake!
Mungu ibarika Tanzania, mungu mbariki Tundu Lissu
Haya maisha tu! Leo kwake kesho kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Makubwa haya huyu Lissu anawataka Wafadhili wasitupe misaada wakati huo huo na yeye anaomba Msaada? Hii ni tabia ya UBINAFSI.
Pathetic!!!!!
Mwamba relax kias tuliza hasira
nimeumia sana baada ya kuona lisu anaomba msaada kwa watu sasa kwann anakuwa kibur na anajua anashida
hii ni video ambayo imevuja ambapo jamaa amenaswa akiomba msaada na hapo Mi muda mfupi baada ya wao kusitisha live streaming haya sasa
Aache kujitia kibur
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko tayari kumchangia Lissu, Chadema tunaomba utaratibu
Aibu sana hii na pia video baada ya kuvuja amejisikia vibaya sana kwa taarifa za mtu wa Karibu na hapa ndo ajue sio wote wanaompigia makofi manake wanampenda
Pole sana kwa njaa na huenda ukalala Nje kwa kufukuzwa kodi
Sent using Jamii Forums mobile app
amepewa 250 mil.matibabu ya msaada bure.malazi bure.usafiri bure ila bado anaombaomba
Msikilize anatumia hali yake kutapeli - sikiliza mpangilio wake wa kitapeli wajinga ndio waliwao! Nilijua kuwa itaishia hivyo kutapeli.
Tundu Lissu ameanza kuwa mnafiki Katika hotuba zake. Mambo Mengi kazungumza kisiasa zaidi akifikiri watz ni wajinga. Ivi Chadema wanamsaidiaje akisitishiwa mshahara. Ilhali Wana Ruzuku kubwa ya serikali. Na ofisi Yao ipo kama ofisi ya mtendaji wa kijiji. Au Ruzuku ni Mali ya mwenyekitiBinafsi nimeumia na kujisikia vibaya sana kitendo cha serikali wanachomfanyia Tundu lissu cha kusitisha malipo na mshahara wake.
Mh. Tundu lissu ameingia katika wakati mgumu sana na inasikitisha akiomba sehemu ya kula , kulala na ada kwa ajiri ya watoto wake!
Mungu ibarika Tanzania, mungu mbariki Tundu Lissu
Haya maisha tu! Leo kwake kesho kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app
AMELIPIGANIA TAIFA.TUTAMPIGANIA NA YEYE.MNASITISHA MSHAHARA WAKE.MMESUSIA MATIBABU YAKE.MNAFIKIRI YEYE NI BENKI.KAMA WAZEE WA DARESSALAAM MIAKA YA 50 WALIVYOMBEBA NYERERE.NA SISI TUTAKUBEBA LISSU.
CHADEMA WEKENI UTARATIBU TUMSAPOTI MPIGANAJI WETU.
Tumsaidie TL anapitia kipindi kigumu. Matibabu ni gharama kubwa, malazi, na mambo mengine. Hakupenda hili litokee tuache kejeli zisizo n maana, hujuikesho lipi litakufika. Tumshukuru mungu kumpa nafasi nyingine y kuishi, atizame familia yake nakuendelea kulitumikia Taifa lake.
Respect lazima iwe ya pande zote, jinsi alivyo umizwa na kuwa treated vibaya na serekali yupo sahihi ku react namna ile. Utaratibu uwekwe nitamchangia.Hamna lolote Tundu Lissu lazima a respect nchi yetu Tanzania maana ndio iliyo kuwa inampa kula, sasa ameisaliti, acha laana zimshukie kama mvua ya mawe walahi
In ISIS VOICE
Sent using Jamii Forums mobile app