GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Unalipwa 7500 shilling kwa siku kwa ku reply mapigo? Pole sana , shule muhimu aiseeNdio ukwelii Huyo hukumu yake hachomoki lazima sheria imkwangue tuuu
Unalipwa 7500 shilling kwa siku kwa ku reply mapigo? Pole sana , shule muhimu aiseeNdio ukwelii Huyo hukumu yake hachomoki lazima sheria imkwangue tuuu
watanzania wengi hawajauelewa upinzani bado, bado wanamshangilia magufuli na kubeza wapinzani hta kama wapo sahihiViva brigedia Lissu
Madhara ya elimu ya kata itolewayo na ccm,kijana hata hajui taratibu, hovyo kabisa.Yeye anadhani unapeleka pesa cash na zinakua tayari ni Mali ya serikali kama vile TRATehehe hivi kwa unavyo fikiria hizo million 10, zililipwa wapi au zilitolewaje?
alitoa keshi?. hivi dhamana ni nini?Kikubwa amelipa Millioni 10
Upinzani wa tz ni pasua kichwa,Mkuu wew hujui tu uongozi wa kikwete taasisi kama bunge hela za warsha , za safari za nje , vikao vya hovyo hovyo kamati zilikuwa nje nje sasa mtu akikuambia uongozi mbaya ujue umate umate hamna
Yy anajua eti amelipa pale mahakan afu ndo katolew,,,,, mawazo ya kilumumbalumumba tu!Million 10 haikutoka na mimichosainiwa ni hati ya dhamana ya thaman ya tsh 10mil.
Swala co umate umate tatzo utawala mbovuMkuu wew hujui tu uongozi wa kikwete taasisi kama bunge hela za warsha , za safari za nje , vikao vya hovyo hovyo kamati zilikuwa nje nje sasa mtu akikuambia uongozi mbaya ujue umate umate hamna
Mutaelewa tu nini maana ya dictator uchwara!lisu ni moja ya wanasiasa wachache wenye akili sana Africa....mi niseme wazi Mimi mpaka Leo simpendi owasa na sintokaa nijutie kumchagua Magu...najuhudi anazozifanya za kushugulikia ufisadi mwake 100%........lakini nakwazika sana anapoubana upinzani katika kila pande.....pamoja na mapungufu mengii walionayo...wanaumuhim sana hasa kwa mawazo mbadala katika nchi...namifano mingi tunazo.....rais magu angekua rais bora na anaweza akawa rais bora(sababu mda wa kubadili misimamo yake dhidi ya wapinzani bado anao) kama atawaacha wafanye siasa zao kwa uhuru ilimradi wasivunje sheria.......otherwise anajitengenezea maadui ambao kulikua hamna ulazima wakuwatengeneza
Cio mbali kuna nini?,,,, sisi huku jimbon tunaona juhud zake kura anapata kama mwaka 2015 ilvokuwWee bwanamdogo Lissu njaa ndio inakuangaisha,acha kuwatumikia wapiga kura wako piga soga lkn 2020 sio mbali
Sheria imkwangue kwa mawakili walewale wa jamuhuri? ?Ndio ukwelii Huyo hukumu yake hachomoki lazima sheria imkwangue tuuu
ogopa xana akili yako kutumikishwa pale lumumba kama inavotumiwa akil yako ww @ mudawoteNadhani anatakiwa ahukumiwe kifo kwa kunyongwa mpaka kufa kabisa, maana anatuchelewesha maendeleo, tumechoka kusikia uongo na unafiki kila kukicha
Eti kawataja wale wa escrow @ natania tuUfisadi gani alioushughulikia...!! Kuna fisadi gani wa maana kapelekwa Mahakamani au...kutumbua Wakurugenzi
Na ukwl umefika!Naona dawa inamuingia mpka atakapo rudi bungeni akil itakuwa imerud
Hahaaa Umetisha mkuuSio SISI, sema 'mimi'...au una mapepo kichwani unayasemea na hayo?
Hata asinge kuwa na elements za udikteta pia usinge ona wala kugundua lolote kwa maana hujui lolote kuhusu hayo.Huo udicteta mbona sisi wananchi hatuuoni???? Au anauona yeye tuuu msumbu!
Na kizuri ni kwamba inafahamika ni kundi gani linalo muunga mkono mh, rais wetu na ndio maaana wengine hatupati taabu kurumbana.Nasema SISI kwa sababu tunao Muunga mkono Magufuli tupo wengi kuliko Nyie teh teh teh mwaka wenu huuu lete fyoko fyoko utolewe Ngeu
Wewe unanijua? Angalia, kengine haka ka Mabibo Relini....ushabikiiii! Haya niambie, ni nani? Maana sasa hata wafua bendera Lumumba mmekuwa 'high class' kiasi daily mnatutishia kuwa tutapumua kwa kodi as if mnaishi na Mungu nyumba moja.