Dunamist
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 474
- 682
Eeeeehh bwana eeeeeehhhHakuna anayependa kufa, ndio maana hata Mwenyekiti alitusimulia ile stori ya kuwekewa sumu alipokuwa waziri.
Kumbe mtukufu ashawahi kugida sumu??
Eeeeehh bwana eeeeeehhhHakuna anayependa kufa, ndio maana hata Mwenyekiti alitusimulia ile stori ya kuwekewa sumu alipokuwa waziri.
Ni raisi yupi huyo aliempigaaaa.Kwani Rais anashtakiwa?haujui hata katiba mbovu iliyowekwa na CCM.!
Muuaji alietaka kumuua ni Magufuli,
Magufuli ashtakiwi kwa mujibu wa katiba yenu mbovu.
Alipomiminiwa riaasi zaidi ya 30 kick kwake ilikujaje?Huyo jamaaaa, asipotumia hiyokiki ya alioigiza ili ije impe promo kwenye uchaguzi huuu na kuwalagai chama chake wamuhurimie agombeee yeye eti kisa anamuujiza, inje yahapo kichani kwa masuala ya kujenga hoja ya kisiasa yuko empty kichwaniii.
Sasa yeye kuchakutwa ni kutushuhudia miujiza, lakini pamoja na umahili wa sheria alionao hatujawahi onatukio lake lile analipereka mahakamani atasikumojaa.
Huu ushuhuda lazima autumie kila kona ilikuutengenezea kiki ya kuhurumiwa kupewa uraisiii.
Angemiminiwa hizo risasi na wasiojulikana angekaaakimya hata kufungua mashitaka iliuchunguzi ufanyike na jinsi anavyopenda kiki za ujuaji wakila kituu?Alipomiminiwa riaasi zaidi ya 30 kick kwake ilikujaje?
Acha kabisa mkuu, waliosema siasa ni mchezo mchafu walikuwa sawa.Eeeeehh bwana eeeeeehhh
Kumbe mtukufu ashawahi kugida sumu??
Huu ni wakati wa kunadi sera na ilani ya Chadema? Au ni kipindi cha kuonyesha hasira na machungu ya moyoni?Jiweke kwenye nafasi yake uone kama ni rahisi hivyo...kuongea ni tiba bora ya afya ya akili..kuongea huleta nafuu ya fukuto la maumivu makali
Na kwa kufanya hivyo kila mara anapeleka ujumbe muhimu na wa kutisha kwa watesi wake kuwa yuko imara kuliko hata kabla ya shambulio na HAJASAHAU....hajafanya nini!? HAJASAHAU.....!!!!
Unashauri tumchague kiongozi mkuu wa nchi kwa sababu ya kumuonea huruma tu?napendekeza TL asiache kuwaeleza wananchi masahibu yaliyompata kila apatapo kajinafasi...nimegundua hili linawauma sana mataga.
huko vijijini ndio iwe lazima, watz hatupendi ukatili tutampa kura za huruma!.
Ili iweje sasa? hata sisi wananchi tuna majanga mengi tu yaliyotupata Lissu sio wa kwanza wala wa mwisho,kama suala la huruma basi kuna watu wanatia huruma mara mia ya Lissu na wapo tu mitaani wanapambana na hali zao.Kwa Nini asizungumzie wakati wakati tukio lilimpata akiwa mwanasiasa tena mbunge. Tena ilitakiwa kila anapotaka kuzungumza anaanza na ilo suala la kupigwa risasi 16. Na akimaliza analizungumzia tena. Na kufunga mkutano kwa Maombi.
Umemjibu vizuri sanaJiweke kwenye nafasi yake uone kama ni rahisi hivyo...kuongea ni tiba bora ya afya ya akili..kuongea huleta nafuu ya fukuto la maumivu makali
Na kwa kufanya hivyo kila mara anapeleka ujumbe muhimu na wa kutisha kwa watesi wake kuwa yuko imara kuliko hata kabla ya shambulio na HAJASAHAU....hajafanya nini!? HAJASAHAU.....!!!!
Ungepigwa wewe risasi Wala usingepona naamini hivyo maana una kaushetani flani hiviHuyo jamaaaa, asipotumia hiyokiki ya alioigiza ili ije impe promo kwenye uchaguzi huuu na kuwalagai chama chake wamuhurimie agombeee yeye eti kisa anamuujiza, inje yahapo kichani kwa masuala ya kujenga hoja ya kisiasa yuko empty kichwaniii.
Sasa yeye kuchakutwa ni kutushuhudia miujiza, lakini pamoja na umahili wa sheria alionao hatujawahi onatukio lake lile analipereka mahakamani atasikumojaa.
Huu ushuhuda lazima autumie kila kona ilikuutengenezea kiki ya kuhurumiwa kupewa uraisiii.
Ungepigwa wewe risasi Wala usingepona naamini hivyo maana una kaushetani flani hivi
Lissu hata aongee Mara 1000 kupigwa risasi watu watamwelewa .