Tundu 'Frankenstein' Lissu

Mfano wa jinsi miscalculation za CCM zilivyompaisha Lissu na kuweza kuwa mtu ambaye hawataweza tena kumdhibiti kama vile ambavyo yule mad scientist alivyoshindwa kulidhibiti dubwana alilolitengeneza mwenyewe.
FYI hilo unaloita dubwana lilikuja kudhibitiwa kwa kufungiwa na kuchomwa moto and that was its end.
Kwani nimesema Tundu Lissu ni evil?
Kawadanganye wasiofuatilia post zako...you are obsessed with Lissu, he haunts you in your sleep.
Stop being so sensitive and stupid to the point that you can't even see my point. Come on now...
Kwa matusi I give it to you...you can shout them from the rooftops but even the perfumes from all of Arabia will not cleanse your bloody hands.
 
Huyu nyani ni msukuma, hakuna watu limukeni kama hao ndugu zangu
 
BLUE/SAMAWATI: hatokuwa tundu lissu yule ingawa anaweza kujaribujaribu lakini hatokuwa na kujiamini kulikopitiliza....kuna wakati inaweza kutokea akawa anadhani anasikia mlio wa bunduki bungeni na kustuka kumbe ni makofi ya wabunge wenzake ....ondoa hofu kabisa mkuu.

RED/NYEKUNDU: magufuli haonekani kuwa na huruma kama hiyo....akilikoroga atakamatwa kama kawa. mark my words!

KIJANI/GREEN: hiyo ni kweli kwani tiba pekee ya mtu anayekutania ni kukaa kimya na kucheka. kwa kufanya hivyo utakuwa umeliepuka lengo lake la kukukasirisha na hatokuwa na nguvu ya kuendelea sana!!!
 
Aiseeeeeee. Mbona inaonekana umekata tamaa ya kimaisha hivyo. Kama ni kijana pambana tu utafanikiwa bwana. Kama ni mzee jitahidi hata uache neno kama assert katika kizazi chako, kwani neno ni bora kuliko ukiacha Mali. Usikate tamaa hivyo bwana.
 
Mfano ni mzuri kabisa.

Tatizo lako unatumia hisia zaidi kuliko akili katika kumjadili huyo "mpendwa" wako Lissu.

Al-Watan keshasema ni heri mumuite Tundu Yesu kabisa.

Mfano wa jinsi Lissu atakavyokuwa mgumu kudhibitiwa na serikali kutokana na makosa ya hiyo serikali una ubaya gani hasa?

Mimi sijazungumzia ubaya wa Lissu. Sijasema matendo ya Lissu ni sawa na matendo ya Frankenstein. Kwanza Frankestein monster ni kiumbe wa kufikirika tu.

Kama ningemfananisha na Hitler hapo sawa.

Lakini katika muktadha wa hoja, kwamba CCM na serikali yake ndo wanahusika moja kwa moja katika kumpandisha chati Lissu na sasa hawatoweza tena kumdhibiti kama vile ambavyo yule mad scientist alivyotengeneza lile li monster aliloshindwa kulidhibiti...sioni kabisa kosa hapo.

Nipo sahihi kabisa.
 
What Doesn't Kill You Makes You Stronger
 
Hapo unaweza kuwa una make a case against the government,na mshabiki wa Tundu Yesu anakushambulia wewe.
 
FYI hilo unaloita dubwana lilikuja kudhibitiwa kwa kufungiwa na kuchomwa moto and that was its end.

So what? That was just a movie.

Kawadanganye wasiofuatilia post zako...you are obsessed with Lissu, he haunts you in your sleep.

The only one with an obsession here is you. Your old ass is obsessed with me. Wherever you see my face you have to get my attention. Behaving like a groupie. I must live rent free in your head.

Kwa matusi I give it to you...you can shout them from the rooftops but even the perfumes from all of Arabia will not cleanse your bloody hands.

And for some reason you seem not to get enough of them. Shocker!
 
Ataendesha harakati zake kwenye wheelchair

Mungu hadhihakiwi.....usije kushangaa wewe kesho ndiye ukawa mvushwa barabara ukiwa ktk wheelchair......!!

Yesu Kristo wa Nazareth aligongomelewa misumari nadhani ya nchi kumi kabisa ile, yet alipata matibabu ya madaktari wabobezi na kutibu mifupa iliyovunjwa vunjwa na wanajeshi wale majahiri wa Kirumi na hawakuamini walipomuona anatembea tena na leo yu hai akikuita hata wewe utubu dhambi zako....

Ndugu kumbuka pia hii, kuwa, siku zote kama hujafa, basi hukuumbika...!!
 
Nguin per se!
 
Hapo unaweza kuwa una make a case against the government,na mshabiki wa Tundu Yesu anakushambulia wewe.

Hahahaaa and that's pretty much what it is.

Basically all I'm saying is that the government has been very clumsy and inept in dealing with its detractors and as a result they have elevated Lissu to a position where they can't handle him anymore.

But for some reason I'm getting attacked.

Funny and sad at the same time.
 
Yote hayo yanitokee kwa sababu ya Tundu Lisu?

KABISA KATAA AU KUBALI..UKIANZA KUONA VITOTO VYAKO HATA SHULE HAVIELEWI,VINAFELI FORM FOUR HATA KAMA UTAKUWA NA PESA KIASI GANI HIYO NI LAANA TOSHA.KWA SASA HUWEZI KUONA LAKINI SIKU ZAJA AMBAZO HATA UKOO NA FAMILIA YAKO AJIRA HAZITAKUWEPO,BIASHARA ZIATAKUWA HAZIENDI.DAMU YA TUNDU LISSU ITAKUWA INA KULILIA KATIKA ARDHI.NAOMBA BAADA YA MIAKA KADHAA TUKIPEWA UZIMA URUDI HAPA UTOE USHUHUDA WA LAANA HIYO.KISASI NI JUU YA BWANA.WEWE LEO NI MBUNGE WA VITI MAALUM NINA UHAKIKA HUWA UNAHISI DUNIA HII NI YA KWAKO NA KAMWE HUTA KUFA WALA HUTOPATA MAJANGA.KAA UTAMBUE MUNGU HADHIHAKIWI APANDACHO MTU NDICHO AKACHOVUNA(WAKOLOSAI 5;6).CHEO ULICHONACHO NI DHAMANA TU,LEO UNAVYO KESHO HUNA.Bahati nzuri nina kufahamu vizuri
 


NDIZO ZILIZOMPANDISHA CHAT, MAANA WEWE ULIKUWA UNA CHAT ZAIDI YAKE BY THEN? HEMU NA WEWE TAFUTA KESI ILI UPANDE CHAT
 


Huwo ushauri ulipaswa umpe Tundu Lisu kabla ya majanga, lkn pia unaweza kumpa akitoka haujachelewa!
 
Ndugu Barbarosa Unatushangaza. Moyo wako hauna hata chembe ya Huruma. Mwenzetu ameumizwa kwa mambo ambayo hajafanya. Mwogopeni Mungu. One day it will you who knows. Hata kama huko vizuri sasa hivi lakini hata marais walioishi vizuri nao kuna siku walimiminiwa risasi. Siku nyingine uwe angalau na utu. Leo kwake na kesho kwako. Duniani hakuna usalama bali kumejaa ushetani ambao hauna huruma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…