luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Japo ni za 2018 lkn hawatoami.
Mnaongiza ila siku tukioata soko letu kubwa mjue hatuwauzii tena. Ndipo hapo mtajua kuwa mko nyumaExperience ipi wakati sisi tunaongoza?
Ndio ninyi zaidi ila ni sawa na kukimbilia standi halafu nauli tunazo sisi , serikali itakaponunua ndege yetu ya mizigo itajikita Zaid ktk kuitafutia kazi ya kufanya hapo ndipo mutakapolia na kusaga meno, maana kitakachotokea kukata mirija tu ya matunda mboga na maua kuuzwa Kenya sasa cjui huko kusafirisha mara nyingi Zaid cjui mutakutoa wapi na mparachichi haukui Kwa mwezi pia ardhi hamna. Kwahiyo subiria tu yajayo yanafurahishaHuwezi linganisha kiasi mnachoexport na kile ambacho sisi tunaexport. Sisi tunaexport mara kadhaa kuwashinda. Nyie ndio mumeanza tu. Sisi tumekuwa tukiexport avocado kwa miaka nyingi sasa. Endelea kucheka cheka tu
Cku zote marehem anakua mbishi kama wewe mpaka yamfike puani ndio anajua sasa kumbe anakufa!Kenya iko mbali sana tena sana.
Kunyaland ni sawa na CHADEMA..
Lakini mnaimport toka Tanzania!!Huwezi linganisha kiasi mnachoexport na kile ambacho sisi tunaexport. Sisi tunaexport mara kadhaa kuwashinda. Nyie ndio mumeanza tu. Sisi tumekuwa tukiexport avocado kwa miaka nyingi sasa. Endelea kucheka cheka tu
Are these words coming directly from your very intestinal opening? Where is the data?Huwezi linganisha kiasi mnachoexport na kile ambacho sisi tunaexport. Sisi tunaexport mara kadhaa kuwashinda. Nyie ndio mumeanza tu. Sisi tumekuwa tukiexport avocado kwa miaka nyingi sasa. Endelea kucheka cheka tu
Usijisifu una mbio msifu na anayekukimbiza, unaleta mambo ya zamani hapa, tunaongelea hivi sasa.Huwezi linganisha kiasi mnachoexport na kile ambacho sisi tunaexport. Sisi tunaexport mara kadhaa kuwashinda. Nyie ndio mumeanza tu. Sisi tumekuwa tukiexport avocado kwa miaka nyingi sasa. Endelea kucheka cheka tu
Wacha kuota. Munaongoza kivipi?Experience ipi wakati sisi tunaongoza?
Maana ya neno juzi ni siku kabla ya jana,Watu washamba wameanza kuexport avocado juzi sasa wameanza kupunyeto non-stop.
kila mtu apigane na hali yake..Mi naona dawa ni kila mtu auze chake, kuanzia Tanzanite hadi parachichi, 😂😂😂
Arimis ni kampuni ambayo haiwezi kuanguka ukizingatia jeshi ya mamilioni ya wanaume wanaoinunua kwa kazi maalum. Kuna siku nilienda kununua arimis pekee yake. Huyo mwanamke wa supermarket anayelipisha akaniangalia kwa macho mbaya. Karibu nimuulize "si unipee kuskus badala ya kuniangalia vibaya."Maana ya neno juzi ni siku kabla ya jana,
Kumbe kunyonga monkey ndio tabia yako tena ukitumia arimis.
it was flowers not fruits... saa zingine jua kusoma ..You can even sell the whole kenya to wazunguz....kama mliweza peleka matunda kwa malikia na wananchi wenu wanakufa na njaa ya covid19....sembuse complex goods
hata wewe pia unaskiza Gengetone?Yupo anatoa nyimbo na vijana Hawa wa gengetone
Si ndio wanataka Lisu ashinde, wapumue.Aisee acha kulinganisha nchi na chama huna adabu
According to you.Kiingereza ni Cha Tz picha ni ya mzungu.