Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,119
- 1,024
Na wewe ukioa utayakuta tu hayo mabachera watakula kiulaini kazi yako wewe unabeba zege
Mke wangu nimeachia saa hizi nahisi atakuwa anaiambia michepuko kibamia, hajui mapenzi, anapenda kulelewa name it...wacha ale maraha ya dunia maisha yenyewe mafupi kwanini aishi na mwanaume anayemtengenezea jehanamu hapahapa dunniani. Sasa amepata wanaume wanajua kumjengea mwanamke pradiso hapahapa duniani...Wanawake bana. Unampondea mume wako lkn bado unaishi kwake na unalelewa km mtoto.
Wengine wanaomba mpaka hela ya chu.....pi lkn akishafika kwa mchepuko full kumpondea. Cha kushangaza akitoka kugongwa huko akifika nyumbani. Baba fulani hakuna chumvi, aiseeeee.
Hata km unachepuka, ni vizuri kumheshimu mumeo. Hao michepuko wa kupita tu. Wakishakula huwezi kuwaona tena. Utabaki ww na mumeo
Hivi kabla ya kuoana si walichunguzana au walikutana klabu wakabebana na kuanza maisha,mbona kina mana wa zamani awakuwahi kulalama kama wanawake wa kileo.Basi nanyi wanaume mjitaidi kuwajibika kwa wake zenu, mm nilishaonaga rafiki zangu km watano wanaangaika na mabwana wa nje, walipokuwa wakilalamikia mambo wanayofanyiwa na waume zao sikuamini, ila leo nayaona. Mwanaume jitambue
Bado upo naye tu sio mkuuuKiukweli sijawahi kuleta mada ya mapenzi/Mahusiano humu ila Leo imenibidi nilete tu. Unajua katika mihangaiko yangu ya kazi nilibahatika kumpata demu flani hivi,
Kiufupi ni mzuri na ni mtu wa Tanga, nilijiona mwenye bahati kukubaliwa na huyo mtoto kwa sababu nilikuwa na ndoto za kupata mwanamke kutoka Tanga ili nisibitishe ule msemo wao pendwa wa mapenzi Tanga ndio yalipozaliwa.
Mwanzo tu wa mahusiano aliniambia kwamba ameolewa na amejaliwa kupata mtoto mmoja na kwa kuwa mimi nilihitaji tu nitimize azma yangu basi tukapanga siku ya kufanya kile kitendo pendwa kinachoitwa tendo la ndoa.
Basi siku ya siku ikafika bhana na haikuwa mbali ilikuwa ni juzi kati tu basi tukafika lodge na kuchukua Self Room.
Katika harakati zetu zile mi mtoto wa kiume nikamfanyia viutundu kidogo mtoto kalewa nikajilia vyangu kiulaini.
Sasa wakati nipo mapumziko huku tunapiga story kidogo ili niendelee na game kufunga la 4 kidogo yule mwanamke akawa ananiambia uanaume si ndio huu bhana siyo yule aliyenioa akifika nyumbani usiku anapiga kimoja tu na hata dakika hachukui anamaliza ananalala zake ananiacha na nyege kibao.
Katika kumdodosa dodosa yule mwanamke muda mwingi alikuwa anamponda sana mume wake kwa kutomrizisha mpaka analaumu kwamba yeye ndio sababu ya kumcheat.
Huyu mwanamke tangu nipige nae lile game amekuwa ni wa kuniganda mpaka kuna muda naona kero.
Jamani kama wewe umeoa na huko humu JF wahudumieni vizuri wake zenu wa ndoa siyo huduma ya mavazi, kula na vitu vingine vya thamani ni hile huduma muhimu ya tendo la ndoa.
NB; kijana mwenzangu bachelor kama mimi we unakutana na yapi kwa hao wake za watu?
Hivi mkuu hukuwahi kumjambisha huyo numbisa 🤔🤔🤔Numbisa i still love you!
1. Siku ukikua utajua kuwa wanawake ni wanafki. Akiwa kwako anakusifia na akiwa kwa mwingine anasifia na ankuponda wwKiukweli sijawahi kuleta mada ya mapenzi/Mahusiano humu ila Leo imenibidi nilete tu. Unajua katika mihangaiko yangu ya kazi nilibahatika kumpata demu flani hivi,
Kiufupi ni mzuri na ni mtu wa Tanga, nilijiona mwenye bahati kukubaliwa na huyo mtoto kwa sababu nilikuwa na ndoto za kupata mwanamke kutoka Tanga ili nisibitishe ule msemo wao pendwa wa mapenzi Tanga ndio yalipozaliwa.
Mwanzo tu wa mahusiano aliniambia kwamba ameolewa na amejaliwa kupata mtoto mmoja na kwa kuwa mimi nilihitaji tu nitimize azma yangu basi tukapanga siku ya kufanya kile kitendo pendwa kinachoitwa tendo la ndoa.
Basi siku ya siku ikafika bhana na haikuwa mbali ilikuwa ni juzi kati tu basi tukafika lodge na kuchukua Self Room.
Katika harakati zetu zile mi mtoto wa kiume nikamfanyia viutundu kidogo mtoto kalewa nikajilia vyangu kiulaini.
Sasa wakati nipo mapumziko huku tunapiga story kidogo ili niendelee na game kufunga la 4 kidogo yule mwanamke akawa ananiambia uanaume si ndio huu bhana siyo yule aliyenioa akifika nyumbani usiku anapiga kimoja tu na hata dakika hachukui anamaliza ananalala zake ananiacha na nyege kibao.
Katika kumdodosa dodosa yule mwanamke muda mwingi alikuwa anamponda sana mume wake kwa kutomrizisha mpaka analaumu kwamba yeye ndio sababu ya kumcheat.
Huyu mwanamke tangu nipige nae lile game amekuwa ni wa kuniganda mpaka kuna muda naona kero.
Jamani kama wewe umeoa na huko humu JF wahudumieni vizuri wake zenu wa ndoa siyo huduma ya mavazi, kula na vitu vingine vya thamani ni hile huduma muhimu ya tendo la ndoa.
NB; kijana mwenzangu bachelor kama mimi we unakutana na yapi kwa hao wake za watu?