Kuoa ni upumbavuKiukweli sijawahi kuleta mada ya mapenzi/Mahusiano humu ila Leo imenibidi nilete tu.
Unajua katika mihangaiko yangu ya kazi nilibahatika kumpata demu flani hivi,
Kiufupi ni mzuri na ni mtu wa Tanga,
Nilijiona mwenye bahati kukubaliwa na huyo mtoto kwa sababu nilikuwa na ndoto za kupata demu kutoka Tanga ili nisibitishe ule msemo wao pendwa wa Mapenzi Tanga ndio yalipozaliwa.
Mwanzo tu wa mahusiano aliniambia kwamba ameolewa na amejaliwa kupata mtoto mmoja na kwa kuwa Mimi nilihitaji tu nitimize azma yangu basi tukapanga siku ya kufanya kile kitendo pendwa kinachoitwa tendo la ndoa.
Basi siku ya siku ikafika bhana na haikuwa mbali ilikuwa ni juzi kati tu basi tukafika lodge na kuchukua Self Room.
Katika harakati zetu zile mi mtoto wa kiume nikamfanyia viutundu kidogo mtoto kalewa nikajilia vyangu kiulaini.
Sasa wakati nipo mapumziko huku tunapiga story kidogo ili niendelee na game kufunga la 4 kidogo yule demu akawa ananiambia uanaume si ndio huu bhana siyo yule aliyenioa akifika nyumbani usiku anapiga kimoja tu na ata dakika hachukui anamaliza ananalala zake ananiacha na Genye kibao.
Katika kumdodosa dodosa yule mwanamke muda mwingi alikuwa anamponda sana Mme wake kwa kutomlizisha mpaka analaumu kwamba yeye ndio sababu ya kumcheat.
Huyu mwanamke tangu nipige nae lile game amekuwa ni wa kuniganda mpaka kuna muda naona kero.
Jamani kama wewe umeoa na huko humu Jf wahudumieni vizuri wake zenu wa ndoa siyo huduma ya Mavazi,kula na vitu vingine vya thamani ni hile huduma muhimu ya tendo la ndoa.
NB.kijana mwenzangu bachelor kama Mimi we unakutana na yapi kwa hao wake za watu..!
Maneno ya hivi tushayadikia sanaKiukweli sijawahi kuleta mada ya mapenzi/Mahusiano humu ila Leo imenibidi nilete tu.
Unajua katika mihangaiko yangu ya kazi nilibahatika kumpata demu flani hivi,
Kiufupi ni mzuri na ni mtu wa Tanga,
Nilijiona mwenye bahati kukubaliwa na huyo mtoto kwa sababu nilikuwa na ndoto za kupata demu kutoka Tanga ili nisibitishe ule msemo wao pendwa wa Mapenzi Tanga ndio yalipozaliwa.
Mwanzo tu wa mahusiano aliniambia kwamba ameolewa na amejaliwa kupata mtoto mmoja na kwa kuwa Mimi nilihitaji tu nitimize azma yangu basi tukapanga siku ya kufanya kile kitendo pendwa kinachoitwa tendo la ndoa.
Basi siku ya siku ikafika bhana na haikuwa mbali ilikuwa ni juzi kati tu basi tukafika lodge na kuchukua Self Room.
Katika harakati zetu zile mi mtoto wa kiume nikamfanyia viutundu kidogo mtoto kalewa nikajilia vyangu kiulaini.
Sasa wakati nipo mapumziko huku tunapiga story kidogo ili niendelee na game kufunga la 4 kidogo yule demu akawa ananiambia uanaume si ndio huu bhana siyo yule aliyenioa akifika nyumbani usiku anapiga kimoja tu na ata dakika hachukui anamaliza ananalala zake ananiacha na Genye kibao.
Katika kumdodosa dodosa yule mwanamke muda mwingi alikuwa anamponda sana Mme wake kwa kutomlizisha mpaka analaumu kwamba yeye ndio sababu ya kumcheat.
Huyu mwanamke tangu nipige nae lile game amekuwa ni wa kuniganda mpaka kuna muda naona kero.
Jamani kama wewe umeoa na huko humu Jf wahudumieni vizuri wake zenu wa ndoa siyo huduma ya Mavazi,kula na vitu vingine vya thamani ni hile huduma muhimu ya tendo la ndoa.
NB.kijana mwenzangu bachelor kama Mimi we unakutana na yapi kwa hao wake za watu..!
Valentina wewe hili linakuuma au unamwonea huruma. Mie mke wangu nimewaachia hawa jamaa wanaogonga v4 kwa raha zaoIla acha kugonga wake za watu aise
Lol haya bwanaValentina wewe hili linakuuma au unamwonea huduma. Mie mke wangu nimewaachia hawa jamaa wanaogonga v4 kwa raha zao
Anayetaka kuoa au kuolewa ni mpumbavuBasi nanyi wanaume mjitaidi kuwajibika kwa wake zenu, mm nilishaonaga rafiki zangu km watano wanaangaika na mabwana wa nje, walipokuwa wakilalamikia mambo wanayofanyiwa na waume zao sikuamini, ila leo nayaona. Mwanaume jitambue
Pokea ujumbeila sasa hivi kumekuwa na wimbi la wake za watu kuwa na mpango wa kando, mpaka inatisha kweli, manake wamewazidi ambao hawajaolewa
ushapokelewaPokea ujumbe
Hivi Lol maana yake nini?Lol haya bwana