Tunayokutana nayo kwa wake za watu

Tunayokutana nayo kwa wake za watu

Ngoja upigwe bisibisi ya Taco msela, utaipenda tena mchizi wake ana bifu baya mno
We waza kupiga mtu bisibisi ya matako na huku nimekushauri mwisho wa thread.

Usiangalie maneno ya thread ila angalia Content ya thread husika.
 
Mkuu zero IQ,
Nakuomba unisaidie kuniunganisha na hao wake za watu maana nina miezi 8 sijamgusa mwanamke,
 
Mkuu zero IQ,
Nakuomba unisaidie kuniunganisha na hao wake za watu maana nina miezi 8 sijamgusa mwanamke,
Mkuu mi mwenyewe nilipata kama zari tu mwanzo sikujua kama ni mke wa mtu couze ukimcheki bado mbichi kabisa.
 
Endelea kukaa hivyohivyo bachelor mpaka umauti ukukute ili ufaidi wake za watu halafu ujiandae cha kujibu cku ya mwisho na siku ya kuja kuoa wewe na wewe utafanyiwa kama unavyowafanyia wenzio
Mkuu usije kujiona mwema na wakati huo huo na wewe kuna demu wa mshikaji unafukuzia .
 
Natamani siku moja na wewe wako achukuliwe alafu jamaa atuletee mlejesho humu.....
 
Mwanamke wa sasa hata umpige 12 daily lazima atoke!
Wa kutoka atatoka tu na wakutulia na ndoa atulie tu.
"Ishini na wanawake kwa akili sana".
Sasa kama humrizishi unafikiri atatulia ndani ya Ndoa ata kama ni wa kutulia akikueshimu sana mke kama huyo basi atakuwa anacheat na shamba boy au mlinzi wako ili tu hasiangaike zaidi huko nje
 
Hizo mbwembwe tuu mkija kuoa mtakuwa hivyo hivyo mkihudumia vyema michepuko kuliko ndoa zenu
 
Unatembea na mke wamtu
Then unathubutu hata kuandika humu jf ukitujuza jinsi ulivyozini na mke wa mtu. .mmmmm
Nakuhakikishia ndugu yangu kama maandiko matakatifu yasemavyo(usiikaribie zinaa)
(Hana AKILI mtu alalaye na mwanamke)
Wee haya maandiko ya Mungu hayatakuacha salama we jifuraishe nafsi lakina utajajuta hata kama si mwezi huu lazimmmmmmaaaaa yatakukuta.
 
Back
Top Bottom