Tunaweza kuwaepuka wahindi?

Tunaweza kuwaepuka wahindi?

Katika kusoma kwangu koteeee kuanzia darasa la kwanza hadi la nne sijawahi kulisoma bara la hindi mkuu ni bara jipya?
Sasa kama umeishia la 4 utajua mambo ya 7, .Bara lipo na linaitwa İndian subcontinent, usikejeli wenzako.
 
İndian people are innevatable.Hawaepukiki ispokuwa kwa wenye akili tu.Wahindi ndio mabingwa wa it na wamejazana silicon valey Marekan.İli kumuepuka muhindi inabidi uwe na akili za mchina.Kuhusu biashara katika dunia ya leo sio lazima tumtegemee muhindi kwa sababu kuna midleman kama Alibaba, aliexpress, amazon nk. Ambao wanaunganisha muuzaji na mnunuaji.Wahindi kwenye hii teknolojia bado wapo nyuma.
 
Sasa kama umeishia la 4 utajua mambo ya 7, .Bara lipo na linaitwa İndian subcontinent, usikejeli wenzako.
Sasa mkuu naomba unieleze maana ya subcontinent kwa kiswahili alafu tuendelee na kuweka hoja
 
Mimi huyu Emery Unai ndio ananipa shida nafikiri huu uzi utaleta ufumbuzi juu ya kumwondoa pale Arsenal....
 
Lakini kwa mwanza naona kama wasukuma wanawapiga hoal wahindi kwa sasa,hasa mitaa ya liberty,soko kuu etc,utaona wafanyabiashara wote walio katika maeneo yaliyobusy sana na watu ni wazawa,
wahindi utawakuta mitaa ya mwanza hotel wanapigwa dolo
 
Back
Top Bottom