CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,917
Mahindi ndo zao kuu la chakula, na ni zao la Kisiasa.
Ni zao la kisiasa kwa sababu Serikali lazima ilinde bei.
Chakula kinatajwa kama moja ya Siraha za Mangamizi au Mapinduzi.Hivyo nchi nyingi sana huwa zinachukua tahadhari ya Bei ya chakula kikuu au upatikanaje wa chakula kikuu.
Kuna Historia za mapinduzi mengi yaliyo sababishwa na Uhaba wa chakula au bei ya chakula kuwa juu sana.
EXPORT LIMIT/EXPORT QUOTAS
Hii iko nchi nyingi sana na si Bongo tu, Nchi kama Russia ambao ni wazalishaji wakubwa wa Grain au Ngano hiwa wana Export limit na baada ya hapo ngao inapaswa kuuzaa Ndani ya nchi pekee.
SASA TUNAWEZA FANYA NINI?
Njia pekee ya kusolve Bei ni kulima mahibdi kwa ajili ya kulishia Mifugo yako.
Unaweza fuga mifugo kama
- Ng'ombe
-Nguruwe
-Mbuzi
-Samaki
Na hii mifugo time ya kuuzwa ndo hapo caliculation ya faida itafanyika.
Yaani faida ya mahindi utakuja kuiona kwenye Maziwa, Kuuza nguruwe, Kuuza Ng'ombe, kuuza kuku na kuuza mayai ya kuku au Vifaranga.
Gharama za kuzalisha mahindi na faida yake itakuja juwa calculated kwenye Output hapo juu.
Hii inaweza kuwa njia nzuri sana ya kukwepa Bei za za chini kabisa za mahindi.
Ni zao la kisiasa kwa sababu Serikali lazima ilinde bei.
Chakula kinatajwa kama moja ya Siraha za Mangamizi au Mapinduzi.Hivyo nchi nyingi sana huwa zinachukua tahadhari ya Bei ya chakula kikuu au upatikanaje wa chakula kikuu.
Kuna Historia za mapinduzi mengi yaliyo sababishwa na Uhaba wa chakula au bei ya chakula kuwa juu sana.
EXPORT LIMIT/EXPORT QUOTAS
Hii iko nchi nyingi sana na si Bongo tu, Nchi kama Russia ambao ni wazalishaji wakubwa wa Grain au Ngano hiwa wana Export limit na baada ya hapo ngao inapaswa kuuzaa Ndani ya nchi pekee.
SASA TUNAWEZA FANYA NINI?
Njia pekee ya kusolve Bei ni kulima mahibdi kwa ajili ya kulishia Mifugo yako.
Unaweza fuga mifugo kama
- Ng'ombe
-Nguruwe
-Mbuzi
-Samaki
Na hii mifugo time ya kuuzwa ndo hapo caliculation ya faida itafanyika.
Yaani faida ya mahindi utakuja kuiona kwenye Maziwa, Kuuza nguruwe, Kuuza Ng'ombe, kuuza kuku na kuuza mayai ya kuku au Vifaranga.
Gharama za kuzalisha mahindi na faida yake itakuja juwa calculated kwenye Output hapo juu.
Hii inaweza kuwa njia nzuri sana ya kukwepa Bei za za chini kabisa za mahindi.