Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,107
- 9,213
Leo navunja kibubu anybody around Moro town tunaweza Anza weekend hata saivi kama mnataka
Sasa mambo ya ndiz yanahusiana vipi na hii uzi na ww kimbau mbauNimeimiss Moro
Zamani sana .. kuna sehemu nilikuwa simalizi siku 3 sijaenda kufata banana muffin.
Nimemiss pia kuku wa ndoo
Na nimemiss heka heka za road, unapanda hiace kutoka Mzinga jeshini unafika town unechafuka balaa kwa vumbi.
Usinizoee.Sasa mambo ya ndiz yanahusiana vipi na hii uzi na ww kimbau mbau
Pita kuleUsinizoee.
🚮🔏Pita kule
Duuh!. Hili jina lako noma.Sasa mambo ya ndiz yanahusiana vipi na hii uzi na ww kimbau mbau
marufuku K vantLeo navunja kibubu anybody around Moro town tunaweza Anza weekend hata saivi kama mnataka
Maziwa pub na makirikiri hamna kitu kumepooza hatariUnaanzia Maziwa Pub, Vicky wa Tanroad Pub,Makhiri Khiri Bar, AirPort Pub,Breakpoint,Samaki Samaki,Don town
Toa location chapu namalizia kujiandaa hapa ila nipo na crew yanguLeo navunja kibubu anybody around Moro town tunaweza Anza weekend hata saivi kama mnataka
Sijui mkuu kwani mufti kasemaje??Kwan kesho Eid?
saivi kumekuwa kuzuri na hivi kuna mvua Hali ya hewa inaruhusu sanaNimeimiss Moro
Zamani sana .. kuna sehemu nilikuwa simalizi siku 3 sijaenda kufata banana muffin.
Nimemiss pia kuku wa ndoo
Na nimemiss heka heka za road, unapanda hiace kutoka Mzinga jeshini unafika town unechafuka balaa kwa vumbi.
nmecheka mpaka nimetapika dagaaUsinizoee.
Mzee hapa nimeanzia Gymkhana Mzee napulizwa na upepoUnaanzia Maziwa Pub, Vicky wa Tanroad Pub,Makhiri Khiri Bar, AirPort Pub,Breakpoint,Samaki Samaki,Don town
Hapa ni mwendo wa Chui mweusimarufuku K vant