NKUU SINDE KWETU
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 830
- 91
Jukwaa la Siasa,
Naomba nichukue nafasi hii kuwapongeza Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kazi kubwa wanayoifanya katika kuwaletea wananchi maendeleo ya kweli. Hakika KAZI yenu ni nzuri na wengi wenu mna Upeo mkubwa na nia ya dhati kupambana na shida za wapiga kura wenu. Kwa spidi hii, CCM itapata ushindi mkubwa tena 2015!
Katibu Mkuu, Mh Kinana na Nape pia kazi yenu tunaiona. Tunashukuru pia kuwatembelea na kushiriki katika kazi za Wananchi kila mnapopita kwa ajili ya shughuli za Chama. Hivyo ndio chama kinatakiwa kuwa, lazima muwe karibu na wananchi.
CCM bado kiko Imara, Serikali yake chini ya Mh Kikwete, Makamu wa Rais na pia Waziri wetu Mkuu, Mtoto wa Mkulima Mh Pinda. Mawaziri Kazi yenu ni nzuri na muongeze spidi kama Katibu Mkuu wa Chama anavyotaka.
HAKIKA; Tanzania Imara inatokana na CCM Imara. Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki CCM na Viongozi wake.
NKUU SINDE, Nduguyenu.
Naomba nichukue nafasi hii kuwapongeza Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kazi kubwa wanayoifanya katika kuwaletea wananchi maendeleo ya kweli. Hakika KAZI yenu ni nzuri na wengi wenu mna Upeo mkubwa na nia ya dhati kupambana na shida za wapiga kura wenu. Kwa spidi hii, CCM itapata ushindi mkubwa tena 2015!
Katibu Mkuu, Mh Kinana na Nape pia kazi yenu tunaiona. Tunashukuru pia kuwatembelea na kushiriki katika kazi za Wananchi kila mnapopita kwa ajili ya shughuli za Chama. Hivyo ndio chama kinatakiwa kuwa, lazima muwe karibu na wananchi.
CCM bado kiko Imara, Serikali yake chini ya Mh Kikwete, Makamu wa Rais na pia Waziri wetu Mkuu, Mtoto wa Mkulima Mh Pinda. Mawaziri Kazi yenu ni nzuri na muongeze spidi kama Katibu Mkuu wa Chama anavyotaka.
HAKIKA; Tanzania Imara inatokana na CCM Imara. Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki CCM na Viongozi wake.
NKUU SINDE, Nduguyenu.