Tunauza vitu vya aina mbalimbali

Tunauza vitu vya aina mbalimbali

EJ Households

Member
Joined
Dec 2, 2020
Posts
84
Reaction score
16
Viti na meza za kusomea(Kids Study Table)
*Hizi ni kea ajili ya watoto.
*Set nzima inajumuisha kiti na meza tu.

Tsh 80,000 kwa set nzima.

Wasiliana nasi / WhatsApp:
+255684908992

Tunapatikana Dar es Salaam, Kariakoo-Mtaa wa Muheza na Narung'ombe karibu na Fairasa Inn/Hotel.

Delivery Available!
InShot_20201204_182946762.jpg
Screenshot_20201204-183443.jpg
 
Miamvuli ya kuzuia jua.
*Unaweza kuitumia sehemu mbalimbali ili kujikinga na jua.
*Hii ni saizi kubwa kabisa.

Tunauza Tsh 45,000

Wasiliana nasi / WhatsApp:
+255684908992

Tunapatikana Dar es Salaam, Kariakoo-Mtaa wa Muheza na Narung'ombe karibu na Fairasa Inn/Hotel.

Delivery Available!


Screenshot_20201205-140341.jpg
Screenshot_20201205-140352.jpg
c889a7dc9d86562f8a8704fa30ae6ef6.jpg
HTB121LcatfvK1RjSspoq6zfNpXa7.jpg_300x300.jpg_.jpg
 
Miamvuli ya kuzuia jua.
*Unaweza kuitumia sehemu mbalimbali ili kujikinga na jua.
*Hii ni saizi kubwa kabisa.....

Maswali kama matatu ya ufafanuzi
1. Je, kwa watu wa mikoani wanaipataje?
2. Inauzwa kwa bei hiyo ikiwa kama inavyoonekana na stendi yake?
3. Vipi ikiwa mtu anataka iwe na nembo yake au jina analotaka kwenye huo mwamvuli, mnaweka? Ikiwa ni NDIO, kwa gharama ile ile ya 45,000
 
Maswali kama matatu ya ufafanuzi
1. Je, kwa watu wa mikoani wanaipataje?
2. Inauzwa kwa bei hiyo ikiwa kama inavyoonekana na stendi yake?
3. Vipi ikiwa mtu anataka iwe na nembo yake au jina analotaka kwenye huo mwamvuli, mnaweka? Ikiwa ni NDIO, kwa gharama ile ile ya 45,000
MAJIBU.
(1) Tunasafirisha takribani kwa mikoa yote iliyopo Tanzania.Gharama ya usafirishaji analipia Mnunuzi.

(2)Hii miamvuli ipo pamoja na stendi yake..Bei ni moja tu Tsh 45,000 hata kama utachukua 100pcs.

(3)Hii miamvuli Tayari ipo na nembo ya kampuni iliyoagiza hii miamvuli..Hatuna miamvuli ambayo ipo plain.Bado hatujajipanga kuleta miamvuli ikiwa na nembo ya mteja.

Karibu sana
 
Mi nataka mniuzie stand yake tu,je naweza pata na kwa kias gan?
 
Tusaidie ukubwa wake/kipenyo au upana wake ni kiasi gani??
 
HISENSE 65" SMART 4K UHD TV.
MODEL:65B7100

Sifa / Specifications ;
✓65-INCH PANEL
✓DLED PANEL
✓4K UHD UPSCALER
✓3840 X 2160, 4K UHD RESOLUTION
✓HDR 10
✓3 HDMI PORTS
✓2 USB PORTS
✓YOUTUBE, DSTV NOW, NETFLIX, AMAZON
✓STEREO SPEAKERS
✓DTS STUDIO SOUND
✓SEAMLESS SMART PLATFORM
✓CLEAN VIEW TECHNOLOGY
✓REMOTE CONTROL

Tunakupatia Ofa Ya Wall Bracket na HDMI cable Bure.
Warranty mwaka mzima

Tsh 1,900,000 tu.

Wasiliana nasi / WhatsApp:
+255684908992

Delivery Available!!

Follow us on Facebook@EJHouseholds
Instagram @ejhouseholds
IMG-20201221-WA0013.jpg
IMG-20201221-WA0014.jpg
IMG-20201221-WA0012.jpg
 
2,800,000 unakula?
HISENSE 65" SMART 4K UHD TV.
MODEL:65B7100

Sifa / Specifications ;
✓65-INCH PANEL
✓DLED PANEL
✓4K UHD UPSCALER
✓3840 X 2160, 4K UHD RESOLUTION
✓HDR 10
✓3 HDMI PORTS
✓2 USB PORTS
✓YOUTUBE, DSTV NOW, NETFLIX, AMAZON
✓STEREO SPEAKERS
✓DTS STUDIO SOUND
✓SEAMLESS SMART PLATFORM
✓CLEAN VIEW TECHNOLOGY
✓REMOTE CONTROL

Tunakupatia Ofa Ya Wall Bracket na HDMI cable Bure.
Warranty mwaka mzima

Tsh 1,900,000 tu.

Wasiliana nasi / WhatsApp:
+255684908992

Delivery Available!!

Follow us on Facebook@EJHouseholds
Instagram @ejhouseholdsView attachment 1656038View attachment 1656039View attachment 1656040
 
Wapendwa hizi Laptop zimekuja 50pcs.Ni used Ila ni imara sana kupitiliza

Laptop nzuri zenye uwezo mkubwa kabisaa
  • Brand yake ni Lenovo
  • Model yake ni Lenovo ThinkPad.
  • processor 2.5ghz intel (core!5).
  • Ram ni 8GB.
  • Storage(HDD) ni 500GB.
  • Wireless network
  • Bluetooth
  • Webcam

Tsh 285,000 tu na hautojutia.

Wahi Sasa!!!

Wasiliana nasi / WhatsApp:
+255684908992

Delivery Available!!

Follow us on Facebook@EJHouseholds
Instagram@ejhouseholds
IMG-20201221-WA0015.jpg
Screenshot_20201221-172136.jpg
 
Wapendwa hizi Laptop zimekuja 50pcs.Ni used Ila ni imara sana kupitiliza,

Laptop nzuri zenye uwezo mkubwa kabisaa
*Brand yake ni Lenovo
*Model yake ni Lenovo ThinkPad.
*processor 2.5ghz intel (core!5).
*Ram ni 8GB.
*Storage(HDD) ni 500GB.
*Wireless network
*Bluetooth
*Webcam

Tsh 285,000 tu na hautojutia.

Wahi Sasa!!!

Wasiliana nasi / WhatsApp:
+255684908992

Delivery Available!!

Follow us on Facebook@EJHouseholds
Instagram@ejhouseholdsView attachment 1656131View attachment 1656133
Mzigo unaingia lini mimi nahitaji moja
 
Back
Top Bottom