financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,141
- 43,366
Ok! Kwahiyo umeona umuongezee aisee fanya hivi mpe hiyo 1.9 yake hiyo ya ziada tuma kwangu mkuu fursa😛Nlikua namaanisha kwa 2,nipo serious
Ok! Kwahiyo umeona umuongezee aisee fanya hivi mpe hiyo 1.9 yake hiyo ya ziada tuma kwangu mkuu fursa😛Nlikua namaanisha kwa 2,nipo serious
Yes Boo nichukulie😉bebi nikunulie
Dah kweli Android kavuruga soko...Haya makitu miaka 10 nyuma ulikuwa huwezi uziwa ikiwa na hizo specs kwa chini ya laki 9! Laptop za bei chee zilikuwa 650k ila leo hii tunabembelezwa kwa 250K laptop imekuwa replace by 70% kimatumizi na ujio wa smartphones!8 gb kasema
Ngoja nimcheki jamaa PMYes Boo nichukulie😉
Hakika mkuu. Ndio faida za technology hizo.Dah kweli Android kavuruga soko...Haya makitu miaka 10 nyuma ulikuwa huwezi uziwa ikiwa na hizo specs kwa chini ya laki 9! Laptop za bei chee zilikuwa 650k ila leo hii tunabembelezwa kwa 250K laptop imekuwa replace by 70% kimatumizi na ujio wa smartphones!
Yani labda kwa zile strong graphics ila kwa matumizi ya kawaida kama word documenting na pdf, emails simu inamaliza.Hakika mkuu. Ndio faida za technology hizo.
Saizi laptop zinafanya kazi chache sana ukilinganisha na miaka kadhaa hapo nyuma
Mzigo Tayari upo..Weka oda yako sasa!!!Mzigo unaingia lini mimi nahitaji moja
Haya ukinizingua nakudunda🙄Ngoja nimcheki jamaa PM
Atakufanyia delivery kesho jioni, now washafunga duka.Haya ukinizingua nakudunda🙄
Kaongo kababe haka😛 afu mi niko serious ujueAtakufanyia delivery kesho jioni, now washafunga duka.
Ndio nasema strong data processing applications haziwezi kuwa handled na simu ila the basics kama emails, kuchapa documents na PDF sharing its easy over the phone.Sio kwa graphics, simu haina uwezo wa kufanya mambo mengi sana yanayo fanya na laptop
Kwahio mie muongo eeh, basi na cancel order umeniudhi😌Kaongo kababe haka😛 afu mi niko serious ujue
Kidogo zinasaidia kwenye mambo madogo madogoNdio nasema strong data processing applications haziwezi kuwa handled na simu ila the basics kama emails, kuchapa documents na PDF sharing its easy over the phone.
Taja DauTafuta pesa nina Carbon X, Core i 7, SSD 256, RAM 16 GB.
Nimeichoka tu, sijapenda charge imeanza kusumbua hazidi saa moja na nusu.. huwa napenda inayo kaa zaidi ya masaa matatu
HahaaaAtakufanyia delivery kesho jioni, now washafunga duka.
Mmh babe kwani hutaniwagi hata kidogo tuù🙄Kwahio mie muongo eeh, basi na cancel order umeniudhi😌
Kwenye deal za hela ndefu sinaga utani kabisa 😁😁Mmh babe kwani hutaniwagi hata kidogo tuù🙄
nimejaribu kuigoogle iko vizuri,sema nami kwa ninacho kifanya nahitaji battery nzuri.Tafuta pesa nina Carbon X, Core i 7, SSD 256, RAM 16 GB.
Nimeichoka tu, sijapenda charge imeanza kusumbua hazidi saa moja na nusu.. huwa napenda inayo kaa zaidi ya masaa matatu