Tunauza vitabu mbalimbali

Tunauza vitabu mbalimbali

Tepu

Member
Joined
May 15, 2015
Posts
13
Reaction score
4
Karibu Tanzania Educational Publishers Ltd (TEPU) ujipatie vitabu mbalimbali vya kilimo na ufugaji, haki na sheria za wananchi, afya, vitabu vya watoto, hadithi/ riwaya, n.k.

Kwa maelezo zaidi piga simu no. +255 685 997 583/+255 0758147871.

Nyote mnakaribishwa.

Hivi ni baadhi ya vitabu tulivyo navyo.

View attachment 252967 mimea ya matunda.jpg Ufugaji bora wa kuku.jpg silaha.jpg


 
Anuani yenu
Unaweza kuniorodhoshea vitabu vya kilimo mlivypnavyo na bei zake
 
Anuani yenu
Unaweza kuniorodhoshea vitabu vya kilimo mlivypnavyo na bei zake

Ndiyo mkuu, ukitembelea kwenye tovuti yetu Tanzania Educational Publishers LTD kuna list ya vitabu vyote na bei zake
 
Sawa nimepitia na nimeona. Yaonekana mpo mbali je mna vitabu vyenu vinapatina maduka yepi mfano Dar Tanga na Moshi. Je mna mfumo mwingine wa mtu kupata vitabu zaidi ya bookshop?

Ndiyo mkuu, ukitembelea kwenye tovuti yetu Tanzania Educational Publishers LTD kuna list ya vitabu vyote na bei zake
 
Ndiyo, vitabu vyetu vinapatikana: Dar es Salaam katika duka la TPH Bookshop,Arusha katika duka la KASE stores Ltd.

Pamoja na maelezo hayo unaweza kupata vitabu vyetu kwa kupitia namba za simu zifuatazo +255 685 997 583/+255 0758147871,+255 784 690277/+255 768023019.
 
I hope huku nitapata vitabu vya kina Dambisa Moyo and other African writers!
 
Karibu Tanzania Educational Publishers Ltd, ujipatie vitabu mbalimbali vya Kilimo na Mifugo, Sheria na Haki za Binadamu,Hadithi n.k kwa mawasiliano zaidi piga simu no 255 685 997 583/+255 0758147871 , +255 784 690277/ +255 768023019. kwa maelezo zaidi tembelea tovuti yetu Tanzania Educational Publishers LTD, nyote mnakaribishwa

View attachment 256620
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom