Arturo mateo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 636
- 1,073
Tangazo la kiswahili ila unaweka bei kwenye dollar
Yani?Tangazo la kiswahili ila unaweka bei kwenye dollar
Duh mwenye nyumba kawa dalaliHahaa atakuwa dalali
Ngoja nikusadie kidogo mkuu, huwa tunawaomba au kulipa hawa mastaa au watu wanaojulikana kuweka matangazo yetu kwenye page zao.kwahyo kama unaona tangazo na umependa we mtafute unaona anaweza kuwa mzuri kwako..mimi siwezi kumzungumzia ila ninachojua nyumba inauzwa na kila mtu anao wajibu wakutafuta mteja.Duh mwenye nyumba kawa dalali
Nakushukuru mkuuAcha kuwa king'ang'anizi kwan huyo mleta Tangazo hawezi kuwa Labda yeye ndo Shishi mwenywe
Hahaa mkuu maisha ni kuchagua.$350,000 sawa na milion karibu mianane(800,000,000)
Mkuu bei hii ni kwa mujibu wa muuzaji mimi ni dalali tu ndg yangu usinitolee hasilaTangazo la kiswahili ila unaweka bei kwenye dollar
Hahaa mpaka saivi bado ni yake mkuuMwambie anunue mwenyewe... Au wawekezaji watanunua...
kwahichi kigorofa moja ? hakuna mtu atanunua labda shirikaHahaa mkuu maisha ni kuchagua.
Nimekuelewa mkuuNgoja nikusadie kidogo mkuu, huwa tunawaomba au kulipa hawa mastaa au watu wanaojulikana kuweka matangazo yetu kwenye page zao.kwahyo kama unaona tangazo na umependa we mtafute unaona anaweza kuwa mzuri kwako..mimi siwezi kumzungumzia ila ninachojua nyumba inauzwa na kila mtu anao wajibu wakutafuta mteja.
Wewe kama wewe umeshidwa vipi kuicomvert kwenda tsh ndo uweke tangazoMkuu bei hii ni kwa mujibu wa muuzaji mimi ni dalali tu ndg yangu usinitolee hasila
Mkuu hivi unajua dollar inabadilika thamani kila kukicha zidi ya Tsh yetu? Karibu uone nyumba mkuu kama hela unazo ila pia ninazo zinazouzwa kwa sh na bei ndogo tu kuanzia Tsh 16m na kuendelea.Wewe kama wewe umeshidwa vipi kuicomvert kwenda tsh ndo uweke tangazo
Nimetoka hapo na mteja mda c mrf na ametoa ofa tunaidiscuskwahichi kigorofa moja ? hakuna mtu atanunua labda shirika
Hahaa karibu mkuu uje utembelee upate hasira zaidi ya kutafuta helakwahichi kigorofa moja ? hakuna mtu atanunua labda shirika
Nashkr mkuu tuko pamojaNimekuelewa mkuu
sholole kasema nyumba yakeNmeona Shilole nae kaipost cjajua nae ni dalali au mwenye nyumba
Sawasholole kasema nyumba yake
Ndio mkuu mambo ya dolali hayaYani?
Uyo muuzaji ana tumia mjani ?Mkuu bei hii ni kwa mujibu wa muuzaji mimi ni dalali tu ndg yangu usinitolee hasila