Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Umeona eeh mkuu! Hapa wengine wanaongea Tu hata Dodoma yenyewe hawaijui ilivyo
Nyie mnao mpinga muuzaji ni hamuijui vizur dodoma .. nyumba ipo kisasa na kisasa kwa dodoma ni kama masaki au mbezi beach ya dsm ni maeneo ambayo wanakaa watu wanao jiweza kidogo.. . Kwa kweri Kisasa ni pazuri sana ... Na viwanja kule ni ghali Sana...... Mimi naona kwa bei hyo kisasa muuzaji yupo sahihi. lakini kama anauza kweri angalau angeanzia 70mil .. kwa sababu hali ya uchumi sio nzuri kwa Sasa.






Work until expensive become cheap.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We mgogo acha kufananisha masaki na vitu vya kijinga, kisasa ni eneo la watu wenye kipato cha kati na viwanja vyake vingi ni kati ya million 12 na 25.

Hilo pagale halitakiw kuzid million 30, labda mumuokote mihanyenyi mwenzenu
Nyie mnao mpinga muuzaji ni hamuijui vizur dodoma .. nyumba ipo kisasa na kisasa kwa dodoma ni kama masaki au mbezi beach ya dsm ni maeneo ambayo wanakaa watu wanao jiweza kidogo.. . Kwa kweri Kisasa ni pazuri sana ... Na viwanja kule ni ghali Sana...... Mimi naona kwa bei hyo kisasa muuzaji yupo sahihi. lakini kama anauza kweri angalau angeanzia 70mil .. kwa sababu hali ya uchumi sio nzuri kwa Sasa.






Work until expensive become cheap.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We mgogo acha kufananisha masaki na vitu vya kijinga, kisasa ni eneo la watu wenye kipato cha kati na viwanja vyake vingi ni kati ya million 12 na 25.

Hilo pagale halitakiw kuzid million 30, labda mumuokote mihanyenyi mwenzenu
Nyie mnao mpinga muuzaji ni hamuijui vizur dodoma .. nyumba ipo kisasa na kisasa kwa dodoma ni kama masaki au mbezi beach ya dsm ni maeneo ambayo wanakaa watu wanao jiweza kidogo.. . Kwa kweri Kisasa ni pazuri sana ... Na viwanja kule ni ghali Sana...... Mimi naona kwa bei hyo kisasa muuzaji yupo sahihi. lakini kama anauza kweri angalau angeanzia 70mil .. kwa sababu hali ya uchumi sio nzuri kwa Sasa.






Work until expensive become cheap.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesema kweli hapo mpaka nyumba iliposimama kujenga inacheza kwenye 10-18 ukisimamia manunuzi ya vifaa na mahitaji yote kwa umakini kabisa, ila watu kutokujua masuala ya Valuation kama ulivyosema wanapigwa bei kubwa na Madalali.
Ata wew valuation yako feki
Uwez kuw na makadirio ya thamani inayo range zaidi ya tatu+
Mfano wako m10-18 XXX
At least useme m10-m13 lak sio 3lala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom