Mrisho com
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 3,899
- 3,936
Habari ya leo humu, tunapenda kuwatangazia jamii kwa ujumla tunauza maziwa ya ng'ombe ambao tunakamua wenyewe.
Kwa waliopo ndani ya jiji la Daslam basi kuanzia lita tano (5) tunakuletea mpaka sehemu unapopatikana.
Maziwa haya utayapata kwa kiasi cha 2000Tsh tu, hivyo tunawakaribisha nyote
Kwa waliopo ndani ya jiji la Daslam basi kuanzia lita tano (5) tunakuletea mpaka sehemu unapopatikana.
Maziwa haya utayapata kwa kiasi cha 2000Tsh tu, hivyo tunawakaribisha nyote